Pornography imetengeneza impact kubwa kwa vijana. Ni kitu chenye matokeo ghali sana ila ni kirahisi na free kukiona kwa muda wowote

Pornography imetengeneza impact kubwa kwa vijana. Ni kitu chenye matokeo ghali sana ila ni kirahisi na free kukiona kwa muda wowote

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,375
Reaction score
28,484
Ninaamini kasi ya vijana wa kike na wa kiume kujihusisha na maadili yanayohatarisha ustawi wao, kwa kiasi kikubwa imetokana na mitandao ya porno za waszi wazi. Mfano ni ule mtandao wa rahatupu, uliokuwepo miaka kadhaa iliyopita, watu wengi leo wanazibuana mitalo kwa kasi sana kwa sababu ya mtandao ule.

Kwa sasa, mitandao ya kijamii kama Instagram imegeuka jukwaa la kile kinachoitwa soft porn—maudhui ambayo hayajafikia kiwango cha ngono ya moja kwa moja, lakini yamejaa mitindo na taswira zinazobeba ujumbe wa kingono kupita kiasi. Yani ile unafungua tu insta unashangaa makalio hayooo usoni mwako hata kama haufunguagi kuangalia makalio.

Ni ngumu sana mtu kuacha kuikifanya kile alichokiona kwenye porno na hii imepelkea ukweli usiopingika kwamba maudhui ya ngono yamekuwa na ushawishi mkubwa kwa mtazamo na mienendo ya vijana. Watoto wadogo wanarubuniwa, vibinti vya 2010 unakuta hadi kulamba koni vinajua, vinajana wanachafuana na maharisho tena peku peku, etc
 
Dunia ilishaoza tangu Karne na Karne mkuu kilichoongezeka saa hii ni utandawazi tu na watu kuyaona yanayofanywa na wengine kupitia mitandao, kiufupi tabia za hovyo kwa wanadamu ni zile zile, unashangaa anal sex kipindi hiki wakati watu walishazibuana mitaro enzi za sodoma na gomora mpaka wakamuuzi muumba.

PS: Tupambane kulinda tu vizazi vyetu na jamii inayotuzunguka ila swala la machafu ya dunia hii si kitu kigeni.
 
Dunia ilishaoza tangu Karne na Karne mkuu kilichoongezeka saa hii ni utandawazi tu na watu kuyaona yanayofanywa na wengine kupitia mitandao, kiufupi tabia za hovyo kwa wanadamu ni zile zile, unashangaa anal sex kipindi hiki wakati watu walishazibuana mitaro enzi za sodoma na gomora mpaka wakamuuzi muumba.
Ndio kipindi hicho hadi malaika waliwatamani wanadamu na wanadamu wakawatamani malaika🤣🤣
 
Ninaamini kasi ya vijana wa kike na wa kiume kujihusisha na maadili yanayohatarisha ustawi wao, kwa kiasi kikubwa imetokana na athari za mitindo ya mtandaoni, ikiwemo tovuti zilizokuwa zikisambaza maudhui ya ngono waziwazi miaka iliyopita.

Kwa sasa, mitandao ya kijamii kama Instagram imegeuka jukwaa la kile kinachoitwa soft porn—maudhui ambayo hayajafikia kiwango cha ngono ya moja kwa moja, lakini yamejaa mitindo na taswira zinazobeba ujumbe wa kimapenzi kupita kiasi. Matokeo yake ni kwamba kizazi kipya kimezidi kurubuniwa na kushawishiwa kujaribu matendo kinachoyaona.

Ni ukweli usiopingika kwamba maudhui ya ngono yamekuwa na ushawishi mkubwa kwa mtazamo na mienendo ya vijana. Watoto wadogo wanaokua katika mazingira haya wanajikuta wakipoteza dira, wakijifunza mambo yasiyolingana na umri wao na hivyo kuhatarisha mustakabali wao wa kimaadili na kiafya.

Sikatai kwamba tabia za uasherati zilikuwepo tangu enzi za kale, lakini kasi, upeo na ukubwa wa changamoto hii katika kizazi cha sasa ni hatari zaidi. Sababu kuu inayochangia hali hii, kwa mtazamo wangu, ni athari za upatikanaji na usambazaji wa maudhui ya ngono mtandaoni.
Umesema ukweli...
 
Ndio kipindi hicho hadi malaika waliwatamani wanadamu na wanadamu wakawatamani malaika🤣🤣
Siku hizi Mungu katulia zake huko hana tabu, enzi hizo unaambiwa binadamu walipinda, kila siku wanamtia heka heka Mungu mara leo kanuna kesho kashusha gharika basi taflani tupu, hakika sisi ni kizazi bora kabisa.
 
Upo sahihi,
Ila kule insta utaletewa vitu unapendelea, algorithm yao ni kali saana, ukiwa mtu wa ball ulkfungua unakutana na page za soka zaidi,
Sasa ww itakuwa wamekushtukia unapenda hayo mambo 😂🤣

Kwingine kote uko sawa mkuu
 
Dunia ilishaoza tangu Karne na Karne mkuu kilichoongezeka saa hii ni utandawazi tu na watu kuyaona yanayofanywa na wengine kupitia mitandao, kiufupi tabia za hovyo kwa wanadamu ni zile zile, unashangaa anal sex kipindi hiki wakati watu walishazibuana mitaro enzi za sodoma na gomora mpaka wakamuuzi muumba.

PS: Tupambane kulinda tu vizazi vyetu na jamii inayotuzunguka ila swala la machafu ya dunia hii si kitu kigeni.
Hajashangaa, amesema amesema haya ya sasa ni Impact (athari) ya mtandao ule haramu..
 
Dunia ilishaoza tangu Karne na Karne mkuu kilichoongezeka saa hii ni utandawazi tu na watu kuyaona yanayofanywa na wengine kupitia mitandao, kiufupi tabia za hovyo kwa wanadamu ni zile zile, unashangaa anal sex kipindi hiki wakati watu walishazibuana mitaro enzi za sodoma na gomora mpaka wakamuuzi muumba.

PS: Tupambane kulinda tu vizazi vyetu na jamii inayotuzunguka ila swala la machafu ya dunia hii si kitu kigeni.
Umesema kweli mkuu mtandao umetufanya tujue tu kuwa Kuna hiki na hiki kinafanyika mahali flani ila uchafu upo toka zamani ni mtu kujipambania tu na jamii yake
 
Upo sahihi,
Ila kule insta utaletewa vitu unapendelea, algorithm yao ni kali saana, ukiwa mtu wa ball ulkfungua unakutana na page za soka zaidi,
Sasa ww itakuwa wamekushtukia unapenda hayo mambo 😂🤣

Kwingine kote uko sawa mkuu
Hahaha hatari mkuu
 
Kwa nini nchi nyingine haina madhara? Why bongolendi tu?

Sio kwa sababu hii kweli?👇

WATANZANIA WANA IQ NDOGO KULIKO NCHI ZOTE ZA AFRIKA MASHARIKI.

Na Thadei Ole Mushi.

Niliwahi kufundisha kidogo hapa kuhusu uwezo wa akili au kitaalamu (IQ) yaani Hisa ya akili.

Mwaka jana kuna ripoti ilitoka ikiwa inaitaja Tanzania kushika nafasi ya 9 katika nchi zenye watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri.

Kwa mujibu wa orodha hiyo,Tanzania inashika nafasi ya 9 wananchi wake wakiwa na uwezo wa kufikiri (IQ) 72, Ghana inashika nafasi ya 8 kwa wananchi wake kuwa na kiwango cha chini cha IQ yaani 71. Nafasi ya saba ni Nigeria (67), nafasi ya sita ni Guinea (66), nafasi ya tano ni Zimbabwe (66), nafasi ya nne ni DR Congo (65), nafasi ya tatu ni Sierra Leone (64), nafasi ya pili ni Ethiopia (63) na nafasi ya kwanza ni Equatorial Guinea (59).Katika nchi zote hapo Tanzania pekee ndio inayojitokeza kwenye orodha hiyo ikiwa imetokea ukanda wa Africa Mashariki.

Kuna wengi watashindwa kupata tafsiri ya kilichomo kwenye mabano yaani number zilizomo kwenye mabano hivyo ni vizuri nikafafanua tena hili.

Mwaka 1904 mwanasaikolojia Alfred Banet alitambulisha nadharia ya namna ya kupima Uwezo wa mtu wa kufiki (IQ) Baadaye 1979 alitokea mtu mwingine aliyekuja kuboresha kidogo tu nadharia hii anaitwa Hilgard huyu aliainisha viwango vya akili ya mwanadamu.

Wananadharia hii kwa pamoja hawajawahi kutofautina na maana halisi ya Hisa ya akili. Wote wanakubaliana kuwa hisa ya akili kipimo cha maendeleo ya kitaaluma kwa kuwianisha UMRI wa kuzaliwa wa mtoto na UMRI wa akili.

Ili uweze kupata hisa ya akili ya mtu unatakiwa uchukue UMRI wa akili ×100 halafu gawanya kwa UMRI wa kuzaliwa.

UMRI wa akili hupatikana kwa kukadiria matendo ayafanyayo mtu. Kwa mfano nyumbani una mtoto wa Miaka 10 lakini matendo yake na uwezo wake unalingana na mtoto wa Miaka 15 basi miaka hiyo 15 ndio UMRI Wake kiakili hivyo utachukua (15×100 ) ÷ 10 = 150.

Nini tafriri yake? Wanasaiokolojia hawa katika nadharia hii wameonyesha pia matokeo ya ukokotoaji kwa mfano hapo jibu tumepata ni 150 mtoto huyu atakuwa ni mwenye kipaji maalumu kwani hawa huanzia 139+ .

Chini ya hapo 129-139 ni wenye Akili za juu sana sana, 110-119 hawa wana akili za juu,90-109 wastani, 80-89 wapo chini ya wastani na 70-79 wana akili duni, chini ya 70 hawa wana mtindio wa ubongo (tahira).

Tunapozungumzia hisa ya akili hatumaanishi uwezo alionao mtu katika kukokotoa hisabati au kujibu maswali ya physics kwa ufasaha bali ni ule uwezo wa mtu kutafsiri na kuchambua taarifa mbalimbali zinazofikishwa kwenye ubongo kitaalamu huitwa ABSTRACT REASONING.

Kwa maana hiyo ukichukua mtanzania ukamweka kwenye kundi la wakenya, wanyarwanda nk basi atashika nafasi ya Mwisho katika kutafsiri na kupata ufahamu kwa mambo ambayo yatakuwa mbele yao.

Kuwa na hisa ndogo ya akili hakutokani na kukosa tu elimu ya Darasani japokuwa nayo huchangia bali hutokana na sababu nyingine nyingi kama vile Lishe duni, afya duni, aina ya genes tunazorithi toka kwa mababu zetu nk.

Dr James Watson aliwahi kusema " black people are less intelligent than white people" Huyu Dr alifanya justification ya argument yake kwa kusema kuwa ujinga ni kitu cha kurithi na ni kama ugonjwa. Hili limeshawahi kudhihirishwa na nadharia nyingine nyingi za kisayansi na za kisaikolojia.

Tuangalie sasa ni mambo gani ambayo hata hivyo yanaweza kuwa ni ushahidi wa ujinga wetu:-

1. Pitia scandal ya UPATU ya DECI.

2. Agalia jinsi ukawa ilivyomtukana Lowassa na baadaye wanamsafisha.

3. Angalia jinsi babu wa Loliondo alivyo tuburuza

4. Angalia michango ya wabunge wetu bungeni na jinsi tunavyowashangilia.

5. Angalia rasilimali tulizonazo na uchumi wetu kama vinaendana.

6. Angalia kwa nini Sumaye alihamia Chadema na bado tunaendelea kushangilia na kupiga makofi

Kuna mambo mengi tu yanayodhihirisha ujinga wetu hata wewe unaweza kuyaongeza katika huo mtiririko.Hata comment yako pia inaweza kukutambulisha aina ya IQ uliyonayo.

Ole Mushi.

"Ninanukuu"
 
Malezi mabovu
Nakataaa.Kuwasingizia wazazi na walezi kwamba hawakutoa malezi bora na yanayofaa kwa watoto wao si kweli.Hili ni la hao "watoto" wenyewe kupaparikia mitandao,kuona yaliyomo,kutamani kuyajaribu.Na baadaye kwa ulevi wao tu,bila kupiga hesabu ya matokeo hasi ya baadaye,wanafanya kweli.Hapo mzazi au mlezi anahusikaje?
 
Back
Top Bottom