hahaha...duh ndo maana naipenda sana JF nimecheka sana asubuhi ..mmenifurahisha sana guys, naona mtoa hoja kajificha kimya anakuja kuchungulia na kusepa tu.
Amini usiamini serikali tatu hazifai jamani.maana zikiwepo ni kwamba hakuna muungano coz kila nchi itasimama yenyewe ss na hiyo serikali ya tatu cjui itakua inaishi vp hpo??
Hivi ninyi watanganyika nani kawaroga hata muikane nchi yenu? Hivi siku ya kiyama tukikuta watu wanapaswa kukaa ki nchi tutakuwa wageni wa nani maana tanganyika itatukataa na hakuna nchi inayoitwa tanzania kule....amkeni serikali tatu mpango mzima.
Ukweli waznz wameamka na kudai znz yao kwa nn tuwanganganie kama hela?mi naona cc tuwe na selikali yetu na kule wawe na ya kwao than tuone nani atapata maendeleo zaidi?kuna0usili gani mpaka lazima kuwe na selikali 2?
hahaha...duh ndo maana naipenda sana JF nimecheka sana asubuhi ..mmenifurahisha sana guys, naona mtoa hoja kajificha kimya anakuja kuchungulia na kusepa tu.
Yaani kaka Deo Carleone niliposoma hu mchango wako nikalinganisha na uzi wenyewe then picha ya Ole Sendeka na Said Mkumbwa na yule mwenyekiti wa wazazi wa ccm bila kumsahau mzee wa tunguli Kingunge, daa kweli nicheka kweli aise, asante sana kaka, Du!