Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

Poor Brain FT MS R wimbo unaitwa Sijiwezi

😂😂 Alimgomea Platnumz kumshirikisha kwenye remix ya komasava sembuse wewe😂
Mmmmhhh unajua huyu jamaa ni very serious likija swala la mambo yake aiseee...

Hapa mi anasema kanionea huruma tuu mkuu daah
 
Siwezi naheshimu kipaji changu naona haupo serious Kwa hiyo Hela we kaimbe na meja kunta au Steve Mweusi
,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila we jamaaa una madharau aiseee an sasa kama kweli hivi khaaaaaa
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌...

Kuwa na huruma kaka maisha ni kusaidiana
 
😂😂😂😂😂 Mpaji natamani siku nimuone huyu jamaaa 😂 😂 😂 😂 😂
Me mwenyew natamani hata nimuone mgongo tu🤣 maana Daah 🤣
 
Back
Top Bottom