Ponda havumiliki


Mnaomtetea Ponda wote akili zenu zimebunguliwa na mdudu aitwaye UDINI. Ponda hastahili hata kuitwa sheikh. Huyo ni baladhuli mkubwa anayeivuruga amani ya nchi hii. Hakuna haja ya kumpa masikio yetu mtu anayetolea dukuduku lake misikitini. Hata kama nia yake ni njema bado kwa njia anayotumia inaleta mashaka. Ponda hana tofauti na makaburu wa afrika kusini waliotumia rangi kueneza ubaguzi, huyu Ponda anatumia udini. IGP mwema tuma vijana wako wakamate mbaguzi huyu. Ni bora mtu mmoja akafa walio wengi wakaishi kwa amani, badala ya mtu mmoja kuachwa akisambaza sumu ya ubaguzi wa kidini kama Ponda.
 
 
Huko zanji kafanya mihazara ya uchochezi sili kali ikamuacha moro tena aaaaaaaaah sasa yatosha akamatwe mara moja


Kukamatwa? Sikia, Gaidi hana haki hivyo huyu inabidi anyongwe tu au afungwe maisha. Si bure kuna anachojivunia tu. Siku zote serikali inasema wachochezi wa siasa/amani wasivumiliwe na wachukuliwe hatua, why Ponda asinyongwe ili iwe fundisho kwa wapuuzi wengine? Yeye anataka sharia, basi aende kwao uarabuni.
 

Mkuu kuna watu nilikuwa nawakubali sana humu JF, ila kupitia uzi huu, lol nimewashusha.... Kumbe wanaongozwa na hisia zao na wala si uhalisia wa mambo? Jamani, itikadi zetu za dini zisitufanye wajinga! Imani yako kwa nini iwe kero kwa wengine?
 
Kafiri mkubwa wee, Tena unyamaze wala tusikuone tena hapa !! Kwenda ukafie na ukafiri wako hukoo!
Kweli kwenye msafara wa mamba na kenge wamo... I think, in future, kuna haja ya members wote tuwe verified users.. Hii itawafanya watu wafuate signature ya Invisible ya kwamba... Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!.... Kuna watu wanafanya kinyume cha hiyo signature... kama bwana life is Short


 
My dear N. good morning, I am a respected person. Na ujio wangu ulikwa mwema kuliko member yyt.hapa.
Lakini malezi yenu na tabia zenu ndo zilizo nifikisha kuwapa ukweli na kuwa fundisha yakuwa " ukitukana UTATUKANWA"
ukijiheshimu utaheshimika. usiwe one sided, Tafdahli sana angalia BOTH sides. What you are talking is't TRUE at all.
Good luck and blessings.
 
Ponda anasema: " watu wote wasio waislamu ni makafiri, na makafiri lazima wauawe ili dola ya kiislamu isimame, na ukiua kafiri unapata dhawabu"



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

kwa statement hii bila kumung'unya maneno Ponda havumiliki hizo kauli hapo zinaonyesha wazi UGAIDI.
 
Thank you for understanding... But despite this, mi nadhani, hata kama kuna mtu alishawahi kukutukana, you need to be you, na usiongozwe na matukio... Kwamba huyu kafanya kile basi nawe ufanye hiki, mbaya kuna mengine yanaharibu kabisa perception ya watu juu yako... UNAJUWA, KWA HIZI KEYBOARDS, THE ONLY WAY YA KUWEZA KUJUA TABIA YA MTU NI THROUGH POSTS ZAKE..
 
Huko zanji kafanya mihazara ya uchochezi sili kali ikamuacha moro tena aaaaaaaaah sasa yatosha akamatwe mara moja
Yaani we jamaa boya kabisa, hivi unajua maana ya Uchochezi, hebu ielezee jamii ya wana JF huo uchochezi ni wa nani na nini na kwanini? Usiropoke usilolijua
 
With whole Respect to humankinds, Tunaweza hitalafiana kimawazo na kiiamni lakini heshima na utu unakuwepo pale pale bila kubadilika kwa mawanaadamu mwenzio. So mkuu everyone likes his mother na IMANI ya mtu ni kama mama yake.....
inapokuja kugeneralize ubaya kwa kuattack mama (imani)... hapo hakuna cha kusimamisha yaani madness ndiyo huReact.
konsikwes zake zawa unpredict.
Take care and good luck.
 
Kwa hiyo PONDA ndio msimamizi wa WAISLAMU..!?
 
...si jamaa wamemchapa risasi, naona jamaa walilenga moyo wameukosa,duuh snipers noma sana...
Ushukuru hao snipers wako wamekosea shabaha maana wangetimiza lengo moto ambao ungewashwa mpaka sasa hata huo muda ulioutumia kubonyeza keyboard au kamchina kako usingeupata. Fahamu kuwa kuna waislamu zaidi ya 3/4 nchini wanaomkubari na kumuunga mkono Ponda idadi ambayo ni kubwa kuliko wapiga kura waliomuweka JK madarakani au kura zota za JK na Slaa. Usidhani kuwa hayo mabomu ya machozi yanayobebwa na vibaraka FFU yanaweza kukuhakikishia amani kama watu watakuwa fade up na kuamua "kama mbwai na iwe mbwai" kumbuka sakata la Mwembe chai vituo vingi vya polisi maeneo ya Manzese, Mburahati, Tandale na Kiduka vilivamiwa na polisi walikula chochoro. Sipendezwi na tabia ya Ponda kuvunja sharia kila siku tena kwa makusudi lakini kauli za kishabiki kama zako zitaliangamiza taifa, polisi wanapaswa watumie busara kushughulika na waalifu sio kukurupuka tu kisa Pinda kawaruhusu.
 
Great thinkers hawana majibu ya dizaini hii....

ila greater thikers wanatakiwa watoe majibu ya dizaini gani, mtu hasumbuki na -------- ndo maana ukajibiwa kulingana na upuuzi wako, hilo nalo linahitaji mtu aende shule, hivi unaweza kuniambia how can u be so'sure kama kote uliposema ameleta uchochezi? Kwa propaganda za media au? Umeshawahi kupata nakala ya cd ambayo anayoshtumiwa kaleta kauli ya uchochezi? Maana sehemu zote alizofanya mihadhara cd zake zipo? For ur information Na hata huko morogoro hakuongea cha sana zaid ya kuwaambia waislamu waliohudhuria pale kuwa sku hiyo yeye si mzungumzaji bali siku inayofuata ataongea msikit wa aljabar kwa hiyo waumin wajitokeze, haya kauli ya chochezi hapo ipo wapi? Unatakiwa uvarify kabla ya kupost vitu
 
Huko Tanzania Ponda ndiye kasoma sana DINI kuliko Late Sheikh Yahaya Khussein au anaelimu ya chuo kikuu ktk SIASA NA JAMII
 
Ponda anasema: " watu wote wasio waislamu ni makafiri, na makafiri lazima wauawe ili dola ya kiislamu isimame, na ukiua kafiri unapata dhawabu"



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Ua kafiri ukapate mabikira akhera
 
Serikali imeyataka yenyewe kwanini ilimtengenezea mashtaka laini? NAshindwa kuamini iwapo kweli serikali ina dhamira ya dhati kuleta utulivu nchin.i really question the wisdon and rationale behind this.
 
Walah kwa matusi haya utaiona Firdaus inshallah
MHE.MKUU WANGU WEWE ULIKUJA NA FAUL GAME UKAINGIA KWA KIBURI NA UZUSHI... NAMI SIKUCHELEWA KUKUPA DOZI. NITASHUKURU UKIKUBALI APPOLOGY ZANGU KWAKO NA NINAOMBA SAMAHNI WOTE NI WAUNGWANA "sintofahamu imetupelkesha pabaya.... Allah ni mwingi wa rehema.GOOD LUCK
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…