Hivi hizo gharama za kutumia helicopter kwa dk45 mnazipimaje ndugu zangu watanzania hadi kufikia $3000?
kale ka msemo "wajinga ndio waliwao/wanaoliwa" kasije kakawa kana apply hapa.
Kenya mbali na gharama nyingine, walitumia $ 600,000 kukodisha ndege iliyomrudisha Sheikh Abdullah Faisal kwao Jamaica!...hivyo ndivyo mfumo kristo unavyofanya kazi.
Taratibu, Mkuu!kazi ya kujenga visima ni kazi ya serikali iliyoko madarakani ....kwa kuwa ndio inayokusanya kodi na hayo mambo ya kujenga visimi ni kazi ya serikali
Serikali yetu inaangaika sana,,,,kwanini hizo pesa wasiwaboreshee makazi hao police? Maana hata mrema alisema wanakaa kwenye vibanda vya bati ambavyo hata ukimuweka nguruwe hazai,,,serikali ijipange,,jeshi letu lina washauri wabaya
Kweli CDM kiboko, kwani kila kitu SI unit ni CDM. Hivi mnpokimbilia kuona kuwa CDM ilitumia gharama kubwa mmejiuliza kwanza haya?
1. Hivi ule msafara wa magari ulikouwa unatumiwa na JK, ukijumlisha gharamna ya mafuta na p/diem za watu wote aliokuwa anafuatana nao mnajua gharama yake?
2. Je mnajua kwamba upande wa manunuzi, watumishi walio wengi wa Serikali na idara zake wanapandisha gharama? usije shangaa, helicopter kama hiyo CDM wanaweza kuirusha Dar to Moro, kwa gharama huenda nusu ya hiyo.
3. Suala kama la Ponda kusafirishwa kwa helicopter au ilivyotokea kwa Kileo kusafirishwa kwenda Tabora kwa helicopter ni mwendelezo wa matumizi yasiyo ya lazima. Haya mambo kama ya Ponda yasingefikia hapa kama si udhaifu wa Serikali
Kenya mbali na gharama nyingine, walitumia $ 600,000 kukodisha ndege iliyomrudisha Sheikh Abdullah Faisal kwao Jamaica!...hivyo ndivyo mfumo kristo unavyofanya kazi.
Duh kama helicopter garama yake ni kubwa hivyo dakika 45 tu ni milioni 5 basi CDM watakua wako fiti sana kifedha manake hiyo helicopter wakati wa campain waliirusha sana let say 12hrs *30days *10,682,031=3,845,531,160 yaani kwa mwezi mmoja CDM walikua wanatumia 3.8billions aisee sasa CHADEMA itabidi mbadilishe mtindo wa campain hiyo hela mnayotumia kwa kurusha helicopter katika campain muwapelekee maendeleo vijijini kwa kujenga visima kuwaletea maji wananchi watawapeni kura tu badala ya kuchoma hela angani muwe mkitumia magari
Kenya mbali na gharama nyingine, walitumia $ 600,000 kukodisha ndege iliyomrudisha Sheikh Abdullah Faisal kwao Jamaica!...hivyo ndivyo mfumo kristo unavyofanya kazi.
Duh kama helicopter garama yake ni kubwa hivyo dakika 45 tu ni milioni 5 basi CDM watakua wako fiti sana kifedha manake hiyo helicopter wakati wa campain waliirusha sana let say 12hrs *30days *10,682,031=3,845,531,160 yaani kwa mwezi mmoja CDM walikua wanatumia 3.8billions aisee sasa CHADEMA itabidi mbadilishe mtindo wa campain hiyo hela mnayotumia kwa kurusha helicopter katika campain muwapelekee maendeleo vijijini kwa kujenga visima kuwaletea maji wananchi watawapeni kura tu badala ya kuchoma hela angani muwe mkitumia magari
Serikali imechoka,Imeajiri watumishi wengi waliofoji vyeti hata utrendaji wao ni kisanii,kibabaishaji,Siamini kabisa kama pPonda ni threat kubwa zaidi wa wauzaji Madawa ya kulevya,sitaki kujua Ponda ni Hatari kwa Uchimi wa Nchi kama walenaouwa na kutorosha meno na tembo,Sipendi kusadiki kuwa Ponda ni hatari zaidi ya Mafisadi walioifikisha nchi hapa na kujitajirisha wao.leo wanapita na kutoa misaada makanisani mamilioni ,siamini kama Ponda ni zaidi ya watuhumiwa waliomuua Mwangosi Nyololo,WALOPUA KIJANA Morogoro,kama vijana wa chadema walihusishwa na walomwagia mtu tindikari Tabora sishangai kusikia Ponda anahusishwa na Tindikali Zanznibar hii ni kazi ya kuajiri watumishi wasionasifa,Hivi hata kama hujui kazi ya kipepelezi juu ya madawa ya kulevya kwanini tusiwashike mateja tuanze nao wanapata wapi madawa,Haitaji Degeree kujua hilo..
Khaa!! hebu fikiri kidogo tu. Itatokea nini kama wabaya wa serikali wakimdungua Sheikh??:bored:Kuna mambo mengi ya kufanya na hizo pesa kwani wangempandisha gari asingefika