Inasikitisha sana hasa mwanamke kushindwa kujizuia hasa pale unapoona pombe zimekuzidiaa, kuna mkasa mmoja umempata mama mmoja anapenda sana kulewa kupita kiasi, na akilewa huwa anamwita kijana wake ambaye anasema ni binamu yake anamfata , kuna siku kale kakijana kakapaki gari pembeni kakajisave bila hiyana yule mama inasemekana alikuwa hawezi kumzuia amelewa chakari na mimba ikaingia siku hiyohiyo, kuna mambo mengine ya kujitakia tu