Kuna uhusiana mkubwa kati ya pombe na politics! Kwani ushahid unaonyesha wanasiasa walevi ndio mabingwa wa kukurupuka na kufanya maamuzi fyongo fyongo! Hata zile mbonji za wabunge wengi bungeni zasababishwa na mipombe! Wenyewe si mnashuhudia madumbwanga ya ngeleja?? Pombe hizo