Duuuuuu! huyu Noela sijui kaibukia wapi tena na kutuletea mambo ya ulevi huku wakati watu wanatafakari mambo ya siasa. namshauri apeleke ulevi huu kwenye jukwaa la walevi kwani hapa sio mahali pake. au kama katumwa na magamba ili kudivet mind za great thinkers kwa kudhani wote tumelala basi amechemka,tupo makini 24hrs........View attachment 32974
jamani ijumaa ndiyo hiyo imefika,wengine ndio wakati wa kwenda kupiga tungi!!ila tunywe kwa utaratibu ili tusijiaibishe mbele za wadogo zetu na hata watoto na wake zetu.
View attachment 32974
jamani ijumaa ndiyo hiyo imefika,wengine ndio wakati wa kwenda kupiga tungi!!ila tunywe kwa utaratibu ili tusijiaibishe mbele za wadogo zetu na hata watoto na wake zetu.