Pombe na pesa mkoje?

Gatekalii

JF-Expert Member
Nov 5, 2016
286
412
Hivi pombe inamahusiano gani na pesa? Mbona nikiacha kunywa pombe pesa huwa inanikimbia. Huwa nafulia mpaka kufikia hatua mpaka kukosa hela ya kula. Chaajabu nikianza kugonga c/lite milango ya fedha hugunguka.
Ndugu zangu kinachosababisha ni nini?
 
Hivi pombe inamahusiano gani na pesa? Mbona nikiacha kunywa pombe pesa huwa inanikimbia. Huwa nafulia mpaka kufikia hatua mpaka kukosa hela ya kula. Chaajabu nikianza kugonga c/lite milango ya fedha hugunguka.
Ndugu zangu kinachosababisha ni nini?
Ongeza moja...
 
Kwa kuwa mipango ya fedha unaifanyia kwenye "vikao" vya pombe! usiache endelea kunywa my ndugu, pombe ni "uhai" kunywa pombe achana na kuywa maji
 
Pombe inakupa akili na madili ya kupata pesa. Kunywa Pombe Okoa Maji.
Awamu hii nikajifanya jeuri kwamba hata nifulie vipi naacha bia... Weeee kilichonipata ni hatari ikabidi nimpigie mshikaji anitoe japo safari tano. Nilivyo gonga tu hizo bia aaaaah michongo ya pesa si ikafunguka bwana. Nimekoma sirudii kuacha bia
 
Back
Top Bottom