Pombe haramu ya gongo inaweza kufanyiwa processing kitaalamu ikawa pombe halali?

raslimali

JF-Expert Member
Nov 4, 2014
1,344
1,012
Habari wakuu,

Hili swali nimekuwa najiuliza kitambo. Pombe ya gongo ni haramu na inawaangamiza raia wengi kiafya. Pamoja na kupigwa marufuku lakini bado inatengenezwa na kuuzwa kwa kificho.

Hakuna mchakato wa kitaalamu wa kuipitisha pombe hii kwenye mitambo ya kisasa ya distillation na kupata product isiyokuwa na madhara kwa afya za watumiaji?

Maana kwa uelewa wangu hata hizi big brands za spirits zinapitia process hiyo hiyo ya fermentation na distillation.

Hakuna namna ya kuipitisha hii locally distilled spirit kwenye mitambo ya kisasa na kupata product yenye kiwango? Au ugumu uko wapi?
 
Kuna kaarufu fulani mule,wakifaulu kuitoa basi wame shinda.

Ova
 
Hizo ni porojo tu ili usiendeleze vya kwako wakuuzie wao, Konyagi ni Gongo iliyohalalishwa.
 
Wakiifanyia hyo distillation inakosa Ile Radha yake ya asili kitu ambacho ndo wanazengo wanakipenda
 
Habari wakuu,

Hili swali nimekuwa najiuliza kitambo. Pombe ya gongo ni haramu na inawaangamiza raia wengi kiafya. Pamoja na kupigwa marufuku lakini bado inatengenezwa na kuuzwa kwa kificho.

Hakuna mchakato wa kitaalamu wa kuipitisha pombe hii kwenye mitambo ya kisasa ya distillation na kupata product isiyokuwa na madhara kwa afya za watumiaji?

Maana kwa uelewa wangu hata hizi big brands za spirits zinapitia process hiyo hiyo ya fermentation na distillation.

Hakuna namna ya kuipitisha hii locally distilled spirit kwenye mitambo ya kisasa na kupata product yenye kiwango? Au ugumu uko wapi?
Inawezekana!
Tafuta Uzi: Kubadilisha Gongo kutoka Haramu kuwa Halali - by Communist - wa mwaka 2013.
 
Back
Top Bottom