sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Source please?
Tusifikie conclusion za kulaumu jeshi la polisi,hebu wadau tufanye uchunguzi.
Jeshi la polisi limedaiwa kufanya tena mauaji,mugumu mkoani mara ambapo safari hii,askari wa kituo cha mugumu wilayani serengeti wamedaiwa kumuua Nyitamboka Mwita(28)kwa kumpiga risasi akiwa nyumbani kwake kwa madai yakuwa ni jambazi.
Jeshi la polisi limedaiwa kufanya tena mauaji,mugumu mkoani mara ambapo safari hii,askari wa kituo cha mugumu wilayani serengeti wamedaiwa kumuua Nyitamboka Mwita(28)kwa kumpiga risasi akiwa nyumbani kwake kwa madai yakuwa ni jambazi.
Jeshi la polisi limedaiwa kufanya tena mauaji,mugumu mkoani mara ambapo safari hii,askari wa kituo cha mugumu wilayani serengeti wamedaiwa kumuua Nyitamboka Mwita(28)kwa kumpiga risasi akiwa nyumbani kwake kwa madai yakuwa ni jambazi.
sasa hata majambazi tutataka yasiuwawe hadi watuue kwanza