Trezedayam
Member
- Dec 20, 2012
- 18
- 1
Polisi wa Rider walikuwa kwenye gurio la katoro wanasema wamekuja kumkamata jambazi walipofika wakaanza kularushwa kama kawaida wananchi wakakasirishwa na kitendo hicho huku wakitaka ela kwa mabavu wananchi wenye hasira wakawapiga na kupora silaha na kuchoma moto pikipiki.Lakini baadaye silaha ilipatikana kwa msaada wa Diwani wa katoro.
Sent from my BlackBerry 9900 using
JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9900 using
JamiiForums