Polisi,wanasiasa watawaponza. Jitengeni nao inapobidi!

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,137
17,908
Polisi wetu tunawapenda. Mnapotukera,tunawaponda. Mnapofanya jambo jema,tunawapongeza. Mnapoboronga,tunawaasa hata kisasa hasa kujitenga na siasa.

Wanasiasa wana mambo mengi. Wanasiasa,katika dunia yao ya siasa,wana marafiki na maadui. Wana bifu zao na furaha zao. Wanaishi tofauti na wengine. Wapo wanasiasa wa aina mbili: watawala na watawaliwa

Wanasiasa watawaliwa ni wepesi sana. Ni wanyonge. Hawana ubavu wa nguvu kupenyeza ushawishi au amri kwa vyombo vya usalama. Kwa sifa hizo,hawana tofauti sana na wananchi wa kawaida. Ulinzi wao mkuu ni public sympathy.

Wanasiasa watawala wana ushawishi na hata kupenyeza amri zao. Hutumia ukaribu wao na wakuu wa kiserikali na kichama kufanya yao kwa vyombo vya ulinzi kama polisi. Nawataja sana polisi kwakuwa wao ni wa karibu yetu zaidi

Pamoja na makandokando hayo yote,polisi wanapaswa kufanya kazi zao kwa uhuru,weledi,juhudi na maarifa. Wanafunzwa hivyo vyuoni mwao. Ili kufanya kadiri ya mafunzo na wanachotamani wananchi,polisi wanapaswa kujitenga na wanasiasa.

Kwa kinachoendelea katika kile kinachoitwa mapambano dhidi ya madawa ya kulevya,aibu tunaona sisi wananchi!

Mwafaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Unafikiri tatizo liko police? Tatizo ni washika hatamu. Police kama police tayari wanastress nyingi ktk majukumu yao, ila sasa hawa Watawala wanapowalazimisha hawana budi kukubali maana viongozi wa juu kabisa wanapewa dhamana hizo na Watawala wao.

Mchawi ni KATIBA. Tukipata hiyo huenda mambo yakawa tofauti.
 
Polisi wetu tunawapenda. Mnapotukera,tunawaponda. Mnapofanya jambo jema,tunawapongeza. Mnapoboronga,tunawaasa hata kisasa hasa kujitenga na siasa.

Wanasiasa wana mambo mengi. Wanasiasa,katika dunia yao ya siasa,wana marafiki na maadui. Wana bifu zao na furaha zao. Wanaishi tofauti na wengine. Wapo wanasiasa wa aina mbili: watawala na watawaliwa

Wanasiasa watawaliwa ni wepesi sana. Ni wanyonge. Hawana ubavu wa nguvu kupenyeza ushawishi au amri kwa vyombo vya usalama. Kwa sifa hizo,hawana tofauti sana na wananchi wa kawaida. Ulinzi wao mkuu ni public sympathy.

Wanasiasa watawala wana ushawishi na hata kupenyeza amri zao. Hutumia ukaribu wao na wakuu wa kiserikali na kichama kufanya yao kwa vyombo vya ulinzi kama polisi. Nawataja sana polisi kwakuwa wao ni wa karibu yetu zaidi

Pamoja na makandokando hayo yote,polisi wanapaswa kufanya kazi zao kwa uhuru,weledi,juhudi na maarifa. Wanafunzwa hivyo vyuoni mwao. Ili kufanya kadiri ya mafunzo na wanachotamani wananchi,polisi wanapaswa kujitenga na wanasiasa.

Kwa kinachoendelea katika kile kinachoitwa mapambano dhidi ya madawa ya kulevya,aibu tunaona sisi wananchi!

Mwafaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Polisi wanatii amri.Kumbuka Mkuu alisema ni lazima waogopwe kama JWTZ.Ukiangalia suala kama la Mbowe ni kuwa mamlaka ya kushughulika na dawa za kulevya tayari ipo na hapakuwa na mantiki ya Sirro kumuita Mbowe kwa tuhuma hizo hizo lakini angemuacha ina maana Mbowe angeonekana kuwa juu ya Polisi jambo ambalo lisingemfurahisha mkubwa Hivyo Sirro hakuwa na jinsi zaidi ya kumkamata na naamini Mbowe angenaswa vibao hadharani na kupigwa pingu hilo lingewafurahisha sana na hasa ndivyo inavyotakiwa.Tia pingu nasa makofi mbele ya kamera
 
Polisi wanatii amri.Kumbuka Mkuu alisema ni lazima waogopwe kama JWTZ.Ukiangalia suala kama la Mbowe ni kuwa mamlaka ya kushughulika na dawa za kulevya tayari ipo na hapakuwa na mantiki ya Sirro kumuita Mbowe kwa tuhuma hizo hizo lakini angemuacha ina maana Mbowe angeonekana kuwa juu ya Polisi jambo ambalo lisingemfurahisha mkubwa Hivyo Sirro hakuwa na jinsi zaidi ya kumkamata na naamini Mbowe angenaswa vibao hadharani na kupigwa pingu hilo lingewafurahisha sana na hasa ndivyo inavyotakiwa.Tia pingu nasa makofi mbele ya kamera
Ila sasa waangalie kesho yao maana lolote linaweza kutokea chini ya jua unayemtesa leo na kumdhalilisha kesho akiwa kiongozi wako unadhani utakua kwenye hali gani
 
Polisi wetu tunawapenda. Mnapotukera,tunawaponda. Mnapofanya jambo jema,tunawapongeza. Mnapoboronga,tunawaasa hata kisasa hasa kujitenga na siasa.

Wanasiasa wana mambo mengi. Wanasiasa,katika dunia yao ya siasa,wana marafiki na maadui. Wana bifu zao na furaha zao. Wanaishi tofauti na wengine. Wapo wanasiasa wa aina mbili: watawala na watawaliwa

Wanasiasa watawaliwa ni wepesi sana. Ni wanyonge. Hawana ubavu wa nguvu kupenyeza ushawishi au amri kwa vyombo vya usalama. Kwa sifa hizo,hawana tofauti sana na wananchi wa kawaida. Ulinzi wao mkuu ni public sympathy.

Wanasiasa watawala wana ushawishi na hata kupenyeza amri zao. Hutumia ukaribu wao na wakuu wa kiserikali na kichama kufanya yao kwa vyombo vya ulinzi kama polisi. Nawataja sana polisi kwakuwa wao ni wa karibu yetu zaidi

Pamoja na makandokando hayo yote,polisi wanapaswa kufanya kazi zao kwa uhuru,weledi,juhudi na maarifa. Wanafunzwa hivyo vyuoni mwao. Ili kufanya kadiri ya mafunzo na wanachotamani wananchi,polisi wanapaswa kujitenga na wanasiasa.

Kwa kinachoendelea katika kile kinachoitwa mapambano dhidi ya madawa ya kulevya,aibu tunaona sisi wananchi!

Mwafaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Hahahahahha Uncle nasikia Mnyoa amekataa kwenda kunyolewa Mahakama kuu kwa kinyozi mkuu wa HAKI na Sheria.

Mshaurini tu kwamba kuwa TEJA la MADAWA MADARAKA ni kubaya zaidi kuliko hata TEJA la Heroine,Bangi au Cocaine
 
Polisi wanatii amri.Kumbuka Mkuu alisema ni lazima waogopwe kama JWTZ.Ukiangalia suala kama la Mbowe ni kuwa mamlaka ya kushughulika na dawa za kulevya tayari ipo na hapakuwa na mantiki ya Sirro kumuita Mbowe kwa tuhuma hizo hizo lakini angemuacha ina maana Mbowe angeonekana kuwa juu ya Polisi jambo ambalo lisingemfurahisha mkubwa Hivyo Sirro hakuwa na jinsi zaidi ya kumkamata na naamini Mbowe angenaswa vibao hadharani na kupigwa pingu hilo lingewafurahisha sana na hasa ndivyo inavyotakiwa.Tia pingu nasa makofi mbele ya kamera

Na ndicho kilichotokea sasa Afande Zirro sijui amechoka maana hata wanachomtuma hakifanyiki vile walivyotaka
 
Uwe mwanasiasa lazima ufuate sheria za nchi, usipofuata utapigwa tu

Kumbe unajua eh,Haya kamwambie Makonda na Sirro waitikie wito,wameitwa MAHAKAMANI,hawako juu ya SHERIA na KATIBA za nchi,waende wakapangue kesi yao leo
 
Hahahahahha Uncle nasikia Mnyoa amekataa kwenda kunyolewa Mahakama kuu kwa kinyozi mkuu wa HAKI na Sheria.

Mshaurini tu kwamba kuwa TEJA la MADAWA MADARAKA ni kubaya zaidi kuliko hata TEJA la Heroine,Bangi au Cocaine
Yaani,mwanangu Tetty ,najuta kukufahamu

Mzee Tupatupa
 
Back
Top Bottom