Polisi wamiminia risasi daladala

Hivi hii dhana ya polisi jamii mnaionaje wana JF, inawezekana vipi wakati polisi na wananchi ni maadui? umefika wakati ni heri kukutana na mwizi kuliko kukutana na polisi. hii ndiyo miaka hamsini ya uhuru?
 
Bange hizo!
Au wanagombea dem
au kuna mfanyabiashara
mwenzie ameamua
kumlostisha
sina jibu kwa kweli
nji ya kikwe........

Mambo yamekuwa
vululuvululu
 
hiyo ndio kauli mbiu ya polic ya kutii sheria bila shuruti
 
Maisha magumu yanavuruga sana ubongo kufikiri vizuri!
 
Eti Tanzania inasheherekea miaka 50 ya uhuru,uhuru ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…