Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Katika hali ya kushangaza polisi wilayan Muleba wamemdhalilisha hakimu wa mahakama ya mwanzo kwa kumpiga pingu hadharani kwa sababu za uzushi zilizotokana chuki binafs baina ya hakimu na polisi ambao wanaishi eneo moja.njama ya ktmdhalilisha hakimu huyo ziliongozwa na wakuu wa polisi nyanja zote wilaya.na kilichokuwepo ni kwamba hakimu huyo ameandikiwa charge ya kumtishia polis siliha..ntaendlea kuwajuza kw kuw nipo mbali na tukio ila nna chanzo kutoka huko.