Friday Malafyale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,789
- 2,868
Kama ni kutufichulia ufisadi wa kumiliki magari yaso yake ya wauza madawa kisa walitishiwa khaa, acha nionekane nna upungufu mange ni kiboko ya Sizonjembona hiyo doc haionekani kuwa ni ya siri. ni tangazo au taarifa kwenda vituo vyote vya uhamiaji, kwangu si tangazo la siri na wala halionyeshi kuwa lilikuwa la siri.kingine mtu anayemuunga mkono mange nahisi ana upungufu wa akili kama mange alivyo.