Polisi wa Tochi Barabarani wanajificha nje ya eneo la 50 halafu unazuiwa mbele eneo ambalo huwezi kurudi kwa mtu wa tochi, unalazimishwa kulipa faini na hakuna jinsi ya kuprove hiyo speed... Huu ni ufisadi mwingine mbaya sana, nimelelemika maana ni mara kama ya nne sasa tukio hili likinitokea.
Hapa Kazi tu tupieni macho eneo hili.. Pia fomu haina risiti ya TRA...
Hapa Kazi tu tupieni macho eneo hili.. Pia fomu haina risiti ya TRA...