saf sana jeshi la polisi, endeleni kumshikilia huyo mpanga mauaji na asitoke rumande, mshikisheni adabu iwe fundisho kwa wengine! na atayetoka kuandamana ataungana nae uko rumande! pumbaf.
Huu ndiyo mwisho wako wa kufikiri?.... Elimu ya madrasa ni mzigo!
KUTOMKAMATA USTAADHI ILUNGA NI UUAJI NA UNYAMA!... KUTOMKAMATA ILUNGA NI UDINI MBAYA KUPINDUKIA!....
MAAGIZO YA ILUNGA kwa waislamu kuua wakristo yangekuwa yamefanywa na mkristo dhidi ya waislamu ISINGECHUKUA HATA MASAA 6 angekamatwa!!!!!!... LAKINI SASA NI MIEZI 6 SHEHE ILUNGA HAJAKAMATWA!