Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Haya maajabu ya Jeshi la Polisi hivi yataisha lini? Hivi chanzo cha maandamano ya CHADEMA ilikuwa ni nini? Hivi mkurugenzi na NEC wanaachwa ili iweje?
Maandamano gani saa mbili usiku?Nimesikia kamanda akisisitiza vyama vya siasa kufuata sheria. Sheria iliyopo inaruhusu vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu kufanya mikutano na maandamano ya kisiasa. Nadhani wahusika mmesikia.
Haya maajabu ya Jeshi la Polisi hivi yataisha lini? Hivi chanzo cha maandamano ya CHADEMA ilikuwa ni nini? Hivi mkurugenzi na NEC wanaachwa ili iweje?