mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Kitendocha kupigwa mapanga kwa wabunge wa CHADEMA mbele ya polisi kinanifanya kuanzakuhoji umuhimu wa uwepo wa jeshi la polisi. Kitendo cha mafisadi kuendeleakutanua kinanifanya nihoji umuhimu wa kuwepo jeshi letu. Maana nchi si salamaingawa majeshi tajwa yapo. Je majeshi yetu yameundwa na wakereketwa nawanachama wa CCM kutokana na kale ka mchezo ka kuwa na kadi ya TANU kabla yakujiunga na JKT?