lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,607
- 2,064
Samahani kidogo mjomba! Mimi binafsi yangu natilia shaka saaana mazungumzo yako kuwa polisi " alishirikiana na mlalamikaji wako kukubambikia kesi".Huyo mwenye kesi ndo alishirikiana na hao polisi kunibambikia hiyo kesi.. Pia niliwasikia wakizozana wao kwa wao baada ya kuona sina hatia yoyote ndio wakang'ang'ania niwape hiyo hela kama usumbufu wa kuishughulikia kesi yangu au waipeleke mbele nikashindane nao mahakamani..
Nikaona potelea mbali Funika Kombe Mwanaharamu apite.. Nikawapa tu hiyo hela yaishe!
Ngoja yakukute ......utapata jibu tu dogoKwann mnaiandama xn polis kuwa wanakula rushwa cyo wtu wengne
Hapo ndipo mnapokosea!Kuna wakati unaona wanakulazimisha na kutaka kukupotezea muda wako wakati una kazi nyingi za kufanya kulijenga Taifa pia familia inakuangalia basi inabidi uwe mpole tu, kwa sababu mimi mmoja wao zaidi ya 2
Na pia muda wote utakaopotea kudai haki naumia mwenyewe kwa gharama nyingi.. nikaona niwape tu yaishe!
TAKUKURU? Kuna mhasibu wao bilionea unafikiri ni za mshahara?Siku nyingine toa taarifa haraka ya mazingira hayo katika mamlaka husika (TAKUKURU)
Yule mhasibu alikuwa akifisadi hela za miradi mbalimbali ya Taasisi akishirikiana na mabosi wake. Ninaamini wote walioko kwenye hiyo chain watawajibishwa kwa mujibu wa sheria.TAKUKURU? Kuna mhasibu wao bilionea unafikiri ni za mshahara?
Samahani kidogo mjomba! Mimi binafsi yangu natilia shaka saaana mazungumzo yako kuwa polisi " alishirikiana na mlalamikaji wako kukubambikia kesi".
Halafu unasema walipogundua kuwa huna hatia. Ndipo wakang'ang'ania uwape hizo pesa iweje wagundue? Wakati wanakubambikia kesi
Hiyo ni pesa kidogo tu ya kupigia viatu kiwi siyo rushwa hiyoSalaam wanaJF
Leo mida ya asubuhi nimekuwepo central kufuatilia namna ya kumdhamini mfanyakazi mwenzangu aliekamatwa Kwa kesi ya madai
Sasa nimepeleka barua ya kumdhamini toka Kwa Afisa mtendaji
Kilichofuata hapo nikaanza kuzungushwa ili mradi nitoe fedha jamaa angu aachiwe wakati dhamana ni bure na nlitimiza vigezo vya kisheria
Jamaa wakanizungusha na kudai niwape angalau elfu 50 ili jamaa yangu wamuachie
Kiukweli nliwakomalia Sana hadi mwisho wa Siku wakamuachia
Kimsingi rushwa nchi hii haiwezi kuisha hasa Kwa hawa wenzetu wanaolinda usalama wa raia na Mali zao waache kuomba omba rushwa wakati salary wanapokea
Nlienda central saa 2 asubuhi jamaa anakuja kuachiwa saa 8 mchana
SAY NO TO CORRUPTION!
Kwa maana hiyo tuseme jamii iache rushwa kupitia jeshi la polisi. Tusiilalamikie polisi peke yake. Jamii nzima IJITATHMINIKesi yenyewe ni ya kimtandao kuna group nilijiunga la whatsapp ikawa kuna kazi za msanii fulani zililetwa na admin sasa wakanikamata mimi ambaye sikushiriki kwa lolote zaidi ya kuwepo kwenye hilo group na ushahidi nilikuwa nao kwenye simu yangu maana pia nilikuwa mvivu wa kuchat kutokana na ubize wa kazi zangu...
Lakini wamenisumbua ili tu niwape hela hadi nikawapa ili yaishe, kwa sababu wamedai watapeleka kesi BASATA ili nisimame na serikali..
Kesi ya madai polisi? Hebu fafanua hapo, maana polisi haihusiki na kesi hizo navyojua.Salaam wanaJF,
Leo mida ya asubuhi nimekuwepo central kufuatilia namna ya kumdhamini mfanyakazi mwenzangu aliekamatwa Kwa kesi ya madai.
Sasa nimepeleka barua ya kumdhamini toka Kwa Afisa mtendaji.
Kilichofuata hapo nikaanza kuzungushwa ili mradi nitoe fedha jamaa angu aachiwe wakati dhamana ni bure na nlitimiza vigezo vya kisheria.
Jamaa wakanizungusha na kudai niwape angalau elfu 50 ili jamaa yangu wamuachie
Kiukweli nliwakomalia Sana hadi mwisho wa Siku wakamuachia.
Kimsingi rushwa nchi hii haiwezi kuisha hasa Kwa hawa wenzetu wanaolinda usalama wa raia na Mali zao waache kuomba omba rushwa wakati salary wanapokea
Nlienda central saa 2 asubuhi jamaa anakuja kuachiwa saa 8 mchana.
SAY NO TO CORRUPTION!
Kusikiliza upande mmoja utaamini tu. Pamoja na hivyo, hebu elezea mazingira ya kukamatwa ili tuone kama kweli ulifanyiwa hujuma au wewe ndo ulifanya hujuma kuukwepa mkono wa dolaMi sina hamu nao, nilishawahi kushikiliwa kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 12 jioni kwa kesi ya kusingiziwa tu na mazingira yote yanaonekana sikukosa chochote ila walikuwa wanalazimisha rushwa na walikomaa hadi nilitoa 100,000 ndio waliniachia... Yaani hawa watu Mungu anawaona!
Ha ha ha mbuzi hule kulingana na urefu wa kamba yake. Hata kwenye tuhuma, hutuhumu yule unayekutana nayeUmewaon polisi tu mbona wengin hamsemi ao takukuru ndo hao hao mbona hamsemi yule mhadibu wao
Elezea mazingira tuyapime.Kuna wakati unaona wanakulazimisha na kutaka kukupotezea muda wako wakati una kazi nyingi za kufanya kulijenga Taifa pia familia inakuangalia basi inabidi uwe mpole tu, kwa sababu mimi mmoja wao zaidi ya 2
Na pia muda wote utakaopotea kudai haki naumia mwenyewe kwa gharama nyingi.. nikaona niwape tu yaishe!
kumbe kuna polis waaminifu pia?upo sahihi mtoa mada na hali hii inawafanya raia wengi wasiwe na imani na askari wengi ambao wanalichafua jeshi la polisi na kusababisha hata polisi waaminifu waonekane ni walewale
Luka 3:14Salaam wanaJF,
Leo mida ya asubuhi nimekuwepo central kufuatilia namna ya kumdhamini mfanyakazi mwenzangu aliekamatwa Kwa kesi ya madai.
Sasa nimepeleka barua ya kumdhamini toka Kwa Afisa mtendaji.
Kilichofuata hapo nikaanza kuzungushwa ili mradi nitoe fedha jamaa angu aachiwe wakati dhamana ni bure na nlitimiza vigezo vya kisheria.
Jamaa wakanizungusha na kudai niwape angalau elfu 50 ili jamaa yangu wamuachie
Kiukweli nliwakomalia Sana hadi mwisho wa Siku wakamuachia.
Kimsingi rushwa nchi hii haiwezi kuisha hasa Kwa hawa wenzetu wanaolinda usalama wa raia na Mali zao waache kuomba omba rushwa wakati salary wanapokea
Nlienda central saa 2 asubuhi jamaa anakuja kuachiwa saa 8 mchana.
SAY NO TO CORRUPTION!
Wataacha utakapoendelea kukomaa bila kutoa rushwa na wengine wasipu toa rushwa polisi wataacha kupokea rushwa kwa kuwa hakuna wakuwapa rushwa.Kiukweli nliwakomalia Sana hadi mwisho wa Siku wakamuachia