Polisi msitoe siri ya nani kawatuma au nani kawapa habari

Jan 27, 2015
50
70
Wasalaam,
WanaJF, sijawahi hata siku moja kuisema polisi wetu ila sasa imebidi niliongelee hili jambo kidogo. Polisi wetu wakienda kufanya shughuli zao kwa mujibu wa sheria, kama ku-arrest,kuvunja shughuli ya watu au mikusanyiko, ku-pigwa fine n.k watakuambia wametumwa na mtu fulani. Sasa najiuliza hii ndiyo ethics zao au? Rejea suala la Meya wa Arusha hivi karibuni na wengine kukamatwa, hivi ili kuwakamata mpaka wajitetee kuwa wametumwa na mtu fulani? Na kwanini wanahusika kujitoa kuwa wao ndo wanafanya kwa mujibu wa sheria.

Isitoshe suala la ushirikiano na wananchi imekuwa siyo ya kuridhisha maana wananchi wanalalamika kuwa wakitoa habari au kuwatonya kuhusu wahalifu hao wahalifu baadae wanawarudia kuwatishia,kuwapiga au kuua.
Mimi sifurahishwi kabisa.
Nawasilisha maoni.
 
Umechanganya mambo hapo!Hilo la kutoa taarifa lina usiri,hawawezi kukuanika!Hayo malalamiko umeyatunga nyuma ya keyboard!
Pili,hata kama ni mimi nasema nimetumwa na Fulani kuja kukukamata!Maana nikiulizwa kwanini nimekukamata,sina jibu,nisemeje?Ikumbukwe mkuu wa mkoa au wilaya wana mamlaka ya kumuweka mtu kizuizini kwa siku 2 iwapo uwepo wa mtu huyo nje kunaweza kuhatarisha usalama!Sasa polisi akitumwa nenda kamkate fulani na hujamwambia mtu huyo kakosa nini,unategemea ajibu nini akiulizwa???
Hapa naona mlitaka isijulikane kama ni Gambo kwa chuki zake na uroho wa rambi rambi ndiye aliyeagiza kukamatwa kwa watu wale!
Swali,wamefunguliwa mashtaka????
 
Wasalaam,
Wanajamiiforum, sijawahi hata siku moja kuisema polisi wetu ila sasa imebidi niliongelee hili jambo kidogo, Polisi wetu wakienda kufanya shughuli zao kwa mujibu wa sheria, kama ku-arrest,kuvunja shughuli ya watu au mikusanyiko, ku-pigwa fine n.k watakuambia wametumwa na mtu fulani sasa najiuliza hii ndiyo ethics zao au? rejea swala la Meya wa Arusha hivi karibuni na wengine kukamatwa, hivi ili kuwa kamata mpaka wajitetee kuwa wametumwa na mtu flani? Na kwa nini wanausika kujitoa kuwa wao ndo wanafanya kwa mujibu wa sheria.
Isitoshe swala la ushirikiano na wananchi imekuwa siyo ya kuridhisha maana wananchi wanalalamika kuwa wakitoa habari au kuwatonya kuhusu wahalifu hao wahalifu baadae wanawarudia kuwatishia,kuwapiga au kuua. Mimi sifurahishwi kabisa.
Nawakilisha maoni.

Kwa sababu wao hawakuona kosa na ilitoka amri kutoka kwa mkuu kakamate,sasa inaelekea walienda sababu ya AMRI tu si sababu ya taaluma yao
 
Police wote wa kiafrika wapo hivyo....sijuwi kwa nn...wanapokuja kukukamata wakushike....wakukose lazima wataje waliowatuma....police wote wa kiafrika ndy zao....Kuna siku tulivamiwa na POLICE.. Durban... Kuna sehem moja nje ya mji imaitwa IYOVU...jamaa km 8 walikuja pale with guns.... Wakaomba kuserch the house.....baadae wakasema MBONA HATUONI hivyo VITU VYA WIZI?kama nyie WEZI mbona kuna TV moja tu...tena sio new series TV..?KUWENI MAKINI NA MAJIRANI ZENU....SORRY GUYS..wakaondoka........POLICE... . washawahi kuja tena nyumbani kwangu hapo TZ. ..saa kumi alfajiri...kama 5 na MIGEGEJE.....nikagoma kufunguwa mlango....NILIWAAMBIYA SAA HIZI MM SIFUNGUWI MLANGO... Hadi Asubuhi tena na MJUMBE awepo....wakakaa hadi asubuhi...kweupee.... Wakaja na MJUMBE...wakaserch. baada ya kuona hakuna watakachokipata kwngu ....mmoja akaniita pembeni... Akasema sisi sio wabaya..kuna watu wametupa taarifa.......tena kwa simu za mkononi... Namba hizi....wametusumbuwa tu...wewe tupoze tu...tuondoke....mbele yao mimi kupiga ile namba anapokea jirani.....mjumbe akashangaa sn.... kwahyo Africa ukipeleka information POLICE.. juwa upo uchi tu...labda mtuhumiwa asiamue kutafuta chanzo cha information ni wapi.. Kimetoka....kwahyo huyo MKUU WA MKOA NI KWELI ALIWATUMA..hao POLICE.... huwa hawafichi kitu hao...
 
Police wote wa kiafrika wapo hivyo....sijuwi kwa nn...wanapokuja kukukamata wakushike....wakukose lazima wataje waliowatuma....police wote wa kiafrika ndy zao....Kuna siku tulivamiwa na POLICE.. Durban... Kuna sehem moja nje ya mji imaitwa IYOVU...jamaa km 8 walikuja pale with guns.... Wakaomba kuserch the house.....baadae wakasema MBONA HATUONI hivyo VITU VYA WIZI?kama nyie WEZI mbona kuna TV moja tu...tena sio new series TV..?KUWENI MAKINI NA MAJIRANI ZENU....SORRY GUYS..wakaondoka........POLICE... . washawahi kuja tena nyumbani kwangu hapo TZ. ..saa kumi alfajiri...kama 5 na MIGEGEJE.....nikagoma kufunguwa mlango....NILIWAAMBIYA SAA HIZI MM SIFUNGUWI MLANGO... Hadi Asubuhi tena na MJUMBE awepo....wakakaa hadi asubuhi...kweupee.... Wakaja na MJUMBE...wakaserch. baada ya kuona hakuna watakachokipata kwngu ....mmoja akaniita pembeni... Akasema sisi sio wabaya..kuna watu wametupa taarifa.......tena kwa simu za mkononi... Namba hizi....wametusumbuwa tu...wewe tupoze tu...tuondoke....mbele yao mimi kupiga ile namba anapokea jirani.....mjumbe akashangaa sn.... kwahyo Africa ukipeleka information POLICE.. juwa upo uchi tu...labda mtuhumiwa asiamue kutafuta chanzo cha information ni wapi.. Kimetoka....kwahyo huyo MKUU WA MKOA NI KWELI ALIWATUMA..hao POLICE.... huwa hawafichi kitu hao...
Na wewe ungemtegeshea kiroba cha bangi huyo jirani yako
 
Huo upuuzi sifanyi wa kupeleka taarifa kwa polis eti nyumba ile inakaliwa na wahalifu......

Ukiwapelekea taarifa ya siri wakienda sehemu husika wakisha wajua wahusi mziki wao mzito.... Baba jiandae kubambikizwa kesi.... ili kuuwa soo..... Hawa polis wa kiafrica nawafananisha na koboko nyoka
 
Back
Top Bottom