Polisi kuanza 'doria' mtandaoni!

Wakati ni ukuta. Hawezi kupigana na wakati, Kizazi cha Nyerere (typewriter na duplicator) ni kizazi hiki cha computer na scanner.
Hilo la wasanii ni geresha tu. Hii ni mbinu mpya ya Bwana Mkubwa Jiwe kutafuta wanaomtukana mitandaoni.
Huko tunakoelekea mpaka majumbani mwetu tutawekewa vikosi maalum sasa.
 
Hivi hakuna cha maana cha kuinvest zaidi ya kuweka Doria mitandaoni?
 
Ni Vituko Kukesha Mitandaoni Ili Kunasa Wapost Hizo Picha
 


Safi sana maana ujinga umezidi, uhuru tunautumia vibaya
 
Mkuu hao wanalipa kodi Hatuna shida nao
 
Karibuni sana tuchat mitandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…