Ndio wauza mirungi wakubwa Arusha tena kwa bei chee mbaya hivyo kuwasabashia wajasiriamali wengine wa mirungi hasara.
Hivi karibuni walikamata fedha zilizoibwa (mamilioni), juzijuzi wakakamata shehena ya mahindi zaidi ya tani 600, cha kushangaza vitu hivi vyote vimeyeyuka mikononi mwao, huko mpakani polisi hao hao wamekamata maroli yakitaka kuvuka mpaka yakiwa na mahindi hayohayo ambayo yalikuwa chini ya ulinzi wao. inakuwaje polisi arusha .........?
police? Au wananchi??'
police? Au wananchi??'
Ndio wauza mirungi wakubwa Arusha tena kwa bei chee mbaya hivyo kuwasabashia wajasiriamali wengine wa mirungi hasara.
Kwani polisi sio watu. Polisi pia ni wezi. Ndiyo wanaongoza hata kwenye kupokea rushwa. Just immagine. Kama wakubwa wanaiba utadhani wataweza kuwakanya wadogo?
ongeza kuwa waliwaua vijana wawili wasio na hatia (wakidai ni cdm)
wakamkamata Mh. Lema na kumfanyia waliyomfanyia.
wengine walisema na kueleza kuwa hakuko sawa lakini wasiopenda kusikia wakapuuza, na waendelee kupuuza mpaka mwisho wa dunia