Katika pita pita nimekutana na hii video ikimuonyesha askari Polisi kijana kabisa akippkea rushwa kutoka kwa dereva wa gari ndogo. Pamoja na hali ilivyosasa lakini mambo bado hayajabadilika.Mamshauri Mh. Magu aondoe mifuko kwenye sare zao labda kidogo tutapunguza hili tatizo.