Polisi afia baa baada ya kulewa sana

Huyo marehemu hana akili. Badala ya kufia kwa kimada yeye anafia bar. Ujinga gani huu
 
Mwanadam atafufuliwa juu ya kile alichofia
Ameangamia, Kweli ameangamia
 
Huyo inaonekana hakufa kwa pombe walipoingia bar aliteleza (kanuba style) akajipiga chini wakamuinua ndio akaenda kwenye kochi inawezekana kuna mshipa wa fahamu ulikuwa unavujisha damu slow na ndio mauti ikamkuta hapo
 
Mbinguni hakuna bia, acha tunywe bia na ukifa rafiki zako wanaendelea kunywa bia. Acha nimwage bia chini kukumbuka
R.I.P Kamanda
 
TUKISEMA POLISI NI MBWA MNAKATAA ULAFI GANI HUO ?SI AJABU POMBE ZENYEWE NI OFFER ZA WATUHUMIWA WA UONGO
Hivi kweli unaamini ktk huyu Mungu au unamini miungu!! Usitumie lugha chafu kwa binaadamu mwenzio.

5/5
 
hakuwa na mchubuko wowote lakini alikuwa na mchubuko mdogo kwenye shavu////
 
Dk. Lumbe Alisema baadaye walipohojiwa watu waliomleta walidai kuwa alikuwa amekunywa kiasi kikubwa cha pombe, hivyo uchunguzi wa kitaalam wa sababu ya kifo chake ni kwamba alikuwa amekunywa pombe kwa kupindukia.


IPP

Dah hapo doctor Lumbe tayari kamaliza uchunguzi wa KITAALAM!

Kweli bongo nyosso sana!!!

***Abhasubhi twemanye***
 
Yan hz pombe watu wanakunywa ila n hatar juzi jamaa mdogo tu kafa kimasiala yan na so kwamba alikuwa anakunywa sana ila sku hyo sijui n pepo gan alikunywa akapitiliza hkohko yaan ndan ya mda mfupi alishakuwa marehemu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwahamasishe polisi wanywe sana.
Mwakani kuna uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…