next
JF-Expert Member
- Nov 2, 2007
- 604
- 185
ni haki polisi na walimu kuiba au kufanya uhalifu wowote kutkana na hali duni walionayo!!!sioni kosa lao ila pia wanatutesa sana raia mtaani kila kitu kwao ni kosa ,unakuta askari anakuambia indicator ya gari lako imepinda lipa fain.
hahaha, uyo afande kapinda aisee. iyo fain unaandikiwa au ndo unampooza kiaina?