Policy Unit Ikulu ni akina nani?

Policy Unit Ikulu ni akina nani?

toby ziegler

Senior Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
105
Reaction score
58
Najaribu kuunganisha dots

hivi head of policy Ikulu ni nani na wako akina nani?

na wanachaguliwa vipi? dont tell me ni through UTUMISHI

kazi kwenu GREAT THINKERS...
 
hawa ndo wanaojulikana kwa kiswahili "waunda sera" kazi yao ni kupika majungu na kutengeneza matukio mapya kila uchao ili kupoteza concentration za watu kwenye jambo moja. ni kitengo makini na kinatunzwa vizuri na "mwenye kaya"
 
tatizo la mijitu kama nyinyi mna wa over rate sana watu wetu

sisi na mambo hayo wapi na wapi?
 
Najaribu kuunganisha dots

hivi head of policy Ikulu ni nani na wako akina nani?

na wanachaguliwa vipi? dont tell me ni through UTUMISHI

kazi kwenu GREAT THINKERS...
hao ndo wanaoratibu ung'oaji kucha na meno bila ganzi, ccm na serikalini wamejaa wahuni tu!!
 
hawa ndo wanaojulikana kwa kiswahili "waunda sera" kazi yao ni kupika majungu na kutengeneza matukio mapya kila uchao ili kupoteza concentration za watu kwenye jambo moja. Ni kitengo makini na kinatunzwa vizuri na "mwenye kaya"

inaonekana ni orginal ya babu wa loliondo
 
Back
Top Bottom