Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu
Leo asubuh mida ya saa mbili nikiwa kwenye dinga la wife natoka kumpeleka kazin nilikutana na maaskar wakanipiga mkono nikasimama tu fresh ili kuwasikiliza kitu gan wanataka
Police mmoja akasema nimetenda kosa la kuendesha kwa speed kubwa hivyo nilipe fain
Nikawambia nioneshe. Namba za gar kwenye hiyo toch yenu ni mda gan mimi nimeendesha kwa speed, police mmoja akatoa toch ya kichina ambayo niya kumulikia nyumban akaiwasha kialama chekundu akanambia unaona hapa imeweka taa nyekundu kumanisha kuwa wewe ndo ulikuwa unaendasha kwa speed
Nikamwambia usizan watu wote ni malofa kama wale malofa wa mkapa, msinifanye mimi sina akili hii ni toch ya nyumban achen usanii nyie, sio kila mtu anatokea kolomije
Tukabisha sana hapo nikawachomolea uhun wao nikasepa zangu
Tuwen makin sana jaman
Unaweza kulipishwa kwa kupigwa toch ya nyumban
Sio utan ni ukweli ndugu
LONDON BABy
Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu
Leo asubuh mida ya saa mbili nikiwa kwenye dinga la wife natoka kumpeleka kazin nilikutana na maaskar wakanipiga mkono nikasimama tu fresh ili kuwasikiliza kitu gan wanataka
Police mmoja akasema nimetenda kosa la kuendesha kwa speed kubwa hivyo nilipe fain
Nikawambia nioneshe. Namba za gar kwenye hiyo toch yenu ni mda gan mimi nimeendesha kwa speed, police mmoja akatoa toch ya kichina ambayo niya kumulikia nyumban akaiwasha kialama chekundu akanambia unaona hapa imeweka taa nyekundu kumanisha kuwa wewe ndo ulikuwa unaendasha kwa speed
Nikamwambia usizan watu wote ni malofa kama wale malofa wa mkapa, msinifanye mimi sina akili hii ni toch ya nyumban achen usanii nyie, sio kila mtu anatokea kolomije
Tukabisha sana hapo nikawachomolea uhun wao nikasepa zangu
Tuwen makin sana jaman
Unaweza kulipishwa kwa kupigwa toch ya nyumban
Sio utan ni ukweli ndugu
LONDON BABy