Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,740
- 14,637
Mkuu sikuchukua picha
Mkuu sikuchukua picha
We nawe maneno mengi yaan muongo sana.Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu
Leo asubuh mida ya saa mbili nikiwa kwenye dinga la wife natoka kumpeleka kazin nilikutana na maaskar wakanipiga mkono nikasimama tu fresh ili kuwasikiliza kitu gan wanataka
Police mmoja akasema nimetenda kosa la kuendesha kwa speed kubwa hivyo nilipe fain
Nikawambia nioneshe. Namba za gar kwenye hiyo toch yenu ni mda gan mimi nimeendesha kwa speed, police mmoja akatoa toch ya kichina ambayo niya kumulikia nyumban akaiwasha kialama chekundu akanambia unaona hapa imeweka taa nyekundu kumanisha kuwa wewe ndo ulikuwa unaendasha kwa speed
Nikamwambia usizan watu wote ni malofa kama wale malofa wa mkapa, msinifanye mimi sina akili hii ni toch ya nyumban achen usanii nyie, sio kila mtu anatokea kolomije
Tukabisha sana hapo nikawachomolea uhun wao nikasepa zangu
Tuwen makin sana jaman
Unaweza kulipishwa kwa kupigwa toch ya nyumban
Sio utan ni ukweli ndugu
LONDON BABy
Liongo sana hilo jamaa kumbe umelishtukia yaan kila siku ana story mpya.Mara hii tu umeshanunua gari? Siyo muda mrefu uliopita umekuja kuomba ushauri kipi uanze kufanya. [ ununue gari au ujenge nyumba] hongera bwana.
#nakwenda_zimbabwe
Tatizo uvulana bado unamsumbua tumvumilie akikua ataacha.Liongo sana hilo jamaa kumbe umelishtukia yaan kila siku ana story mpya.
Kwahyo unafugwa na demu au..???hapana mkuu nilikuwa kwenye gar ya demu wangu
Mkuu wanawake wa siku hiz hawasomek bora tu kila mtu abaki na chakeWe nawe maneno mengi yaan muongo sana.
Mara unakaa nyumba ya kupanga na unaomba ushaur kati ya kununua gari na kujenga ufanye lipi!!
Mara hii ulikua na gari ya wife,sasa kama mna gari si mjenge
Kakojoe ukalale.
Acha uchizi kama akisepa na gari yake utabaki na nyumba yako utaishi kwa amani kuliko mjaze migari kwny nyumba ya kupanga.Mkuu wanawake wa siku hiz hawasomek bora tu kila mtu abaki na chake
Yule sio mke wangu mkuu ni demu wangu tu ndugu yanguAcha uchizi kama akisepa na gari yake utabaki na nyumba yako utaishi kwa amani kuliko mjaze migari kwny nyumba ya kupanga.
Hizo fikra za kuwa wanawake hawaelewek ndizo zinazofanya utake kununua gari yaan ushindane nae na ukitaka ufeli maisha shindana na mwanamke hasa ambae akili zake zipo makalioni wallah utaongea peke yako kama chizi.
UmenisaidiaHahaha daah!toch ya nyumban? Aisee punguza kupost ujinga
Anasema ya mke wakeMara hii tu umeshanunua gari? Siyo muda mrefu uliopita umekuja kuomba ushauri kipi uanze kufanya. [ ununue gari au ujenge nyumba] hongera bwana.
#nakwenda_zimbabwe
Jenga nyumba uendelee kudoea gari za watu utapata yakoYule sio mke wangu mkuu ni demu wangu tu ndugu yangu
Nilikutana nao hapa maeneo ya sinai mwanza nawajua kwa sura hata kama leo nitapita hapo nawajuaLeta details kamili wapate kushughulikiwa.
Mkoa, wilaya/ mji/jiji/manispaa na base waliokuwa(sehemu walipokuwa, taja jina.) Ni rahisi sana kuwapata hao wahuni na kuwapa onyo kali.
Hao ndio wanaofanya Mh.Rais kumfokea IGP hadharani.