ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,002
- 9,074
Police brutality
Pande za mataa ya sayansi nikiwa kwenye daladala ya tegeta makumbusho nimeshuhudia unyama wa ajabu ambao nilikua sijajiandaa kabisa kuushuhudia mwanzoni mwa mwaka mataa yameruhusu vyombo vyote vipo kwenye mwendo kumbe kuna traffic amemspot bodaboda from distance sasa anamvizia bodaboda ile kufika tu pande za mwanausalama wetu akapigwa ambushi ya kusukumwa yeye na abiria wake chali abiria alikua ni mdada wa makamo pona pona yao walikua na helmet na yule dada aliangukia upande wa magari yatokayo mjini na kuna gari ilikua inakuja bahat nzuri ilifunga break kabla haijaongezea madhara.
Vita ikaanzia pale kijana alipojaribu kubishana na askari kuhusu mbinu hatarish aliotumia apo ndio wakaongezeka trafik wengine wawili na askari mmoja mwenye kifaa cha kuulia almaarufu kama bunduki jamaa amechezea mambata wakat anasindikizwa kwenye kibanda chao cha mpesa humo amechezea vitako vingi sana vya smg mimi kama binadamu wakawaida kabisa nimeumia sana kuona kitu kama hicho kinafanywa na watu wanaotakiwa kutulinda na kututetea mbaya zaid tumewakabidhmpaka na vifaa vyakuulia ambavyo sasa wanavitumia kututisha na kudhulumu haki za raia najua humu kuna mabos wa jesh letu ningeomba wale jamaa waliokua duty leo saa saa tano wachunguzwe na huyu kijana apatiwe haki yake asanteni.
Pande za mataa ya sayansi nikiwa kwenye daladala ya tegeta makumbusho nimeshuhudia unyama wa ajabu ambao nilikua sijajiandaa kabisa kuushuhudia mwanzoni mwa mwaka mataa yameruhusu vyombo vyote vipo kwenye mwendo kumbe kuna traffic amemspot bodaboda from distance sasa anamvizia bodaboda ile kufika tu pande za mwanausalama wetu akapigwa ambushi ya kusukumwa yeye na abiria wake chali abiria alikua ni mdada wa makamo pona pona yao walikua na helmet na yule dada aliangukia upande wa magari yatokayo mjini na kuna gari ilikua inakuja bahat nzuri ilifunga break kabla haijaongezea madhara.
Vita ikaanzia pale kijana alipojaribu kubishana na askari kuhusu mbinu hatarish aliotumia apo ndio wakaongezeka trafik wengine wawili na askari mmoja mwenye kifaa cha kuulia almaarufu kama bunduki jamaa amechezea mambata wakat anasindikizwa kwenye kibanda chao cha mpesa humo amechezea vitako vingi sana vya smg mimi kama binadamu wakawaida kabisa nimeumia sana kuona kitu kama hicho kinafanywa na watu wanaotakiwa kutulinda na kututetea mbaya zaid tumewakabidhmpaka na vifaa vyakuulia ambavyo sasa wanavitumia kututisha na kudhulumu haki za raia najua humu kuna mabos wa jesh letu ningeomba wale jamaa waliokua duty leo saa saa tano wachunguzwe na huyu kijana apatiwe haki yake asanteni.