Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,086
- 5,142
Labda hajielewi. Hivi ameshau kwamba mgombea mwenza wa ccm ndiye aliekuwa naibu spika au makamu mwenyekiti wa lililokuwa bunge maalum la katiba? Huo sasa ni kiwango cha juu cha ujinga. Ndo mana mkapa akatuita wapumbavu na malofa. Yaani watanzania tunajiaibisha wenyewe! Hajui hata ni nani aliekuwa anapinga maoni ya wananchi? Hata hotuba ya JK wakati anafungua Bunge maalum ameisahau??? Hii ni hatari kwa ustawi wa taifa. Ina maana alikuwa akipigana bila kujua anapigana na nani?Katika mahojiano na kituo cha BBC Swahili DSM lofa Humphrey Polepole amedai wale walioipinga katiba pendekezwa ya wananchi wamehama hivyo amependezewa na jambo hilo.
Hapa naamini huyu sasa ni Lofa na Mpumbavu.