Polepole unampoteza Zenda

H
Hao wote ni wajukuu wa Mbunge wa zamani wa Iramba Mh Yohana Nkurlu(1965 - 1970)
Fadhili ni mtoto wa Y.Nkurlu! Amani anamuita Fadhili Baba mdogo! Baba wa Amani alikua Press secretary wa Mkapa! ambao walikua intake moja na Balozi..P.Kalaghe..
 
aiseee hii cv ya zenda ni hatari
 
Ina maana Polepole ameshajipa urithi wa Ukatibu Mkuu? Polepole huyu huyu anasema Watu wasipange kumbe naye anashiriki kupanga safu zake, aibu! Tangu Polepole aingie hakuna la maana analolifanya mpaka imefika wakati wakubwa wa CCM na Serikali kumkumbuka Nape

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari kama hizi muwe mnapost kwenye mablogu yenu ya CCM huko msome wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…