nimecheka ulivyosema zenda kaamua kuwa mwendawazimu zaidi ya uwendawazimu wake unaojulikana...
huyo zenda ni kichaaa kwa kweli nimesoma nae primary namjua ...... huyo zenda kabla hujamvuruga anakuvurugaaaa mara 100 ... hanaga aibu hata uchi anaweza akatembea.... uvccm kweli kazi mnayoooo kama viongozi wenu ni kina daniel zendaaa