Huyu katibu mwenezi wa ccm amekuwa na kauli nyingi zenye ukakasi, lakini mbaya na inayo tufikirisha kama wananchi hasa wa mkoa wa Kigoma ni hii ya kusema kuwa 2020 Zitto atafute Kazi ya kufanya na kwamba eti sisi wana kigoma tumesema kuwa kuwa hatumuelewi Zitto ( katika utendaji ).
Hivi nilini Polepole aliongea nasi tukamueleza habari hizo za kizushi ambazo ameamua kuzizusha, kama anachuki zake binafsi na Zitto aseme na wala asituhusise kwenye huo ujinga wake.
Polepole kwanza ni kiongozi asiye jitambua, ameingiza ccm kwenye kashfa nzito ya rushwa ya kununua wabunge na madiwani na kulisababishia Taifa hasara kubwa ya kufanya chaguzi za marudio .( anapaswa kufanya toba kwa dhambi kubwa kama aliyo tuanyia watanzania. )
Inashangaza ccm inayo jinadi kila siku kwa wananchi kuwa ni waadlifu bado wanafuga mtu wa hovyo kama Polepole ndani ya chama.
Na kwa taarifa tu ccm wapaswa kujua kuwa chuki ziliongezeka kwa ccm zinatokana na siasa za kishamba anazozifanya huyo Polepole.
Polepole alishafikia hata kuleta siasa za hovyo kabisa kwenye mikopo ya elimu ya juu.
Huyu huyu anadai kuwa kiongozi aweye yoyote katika nchi hii itabidi apitie kwenye chuo cha siasa ndo kiwe kigezo cha yeye kuajiriwa huo ni ujinga.
Ukweli ni kwamba kwa aina hii ya siasa za polepole kama hata kemewa atasababisha vurugu 2020 na lawama zitaielekea ccm.
Huyu polepole anadai kuwa 2020 chama hicho cha wezi na mafisadi wakubwa wanao linyonya taifa letu bila aibu kuwa watashinda kwa asilimia sabini na moja, sisi tunamkanya na aache wananchi wafanye maamuzi yao wenyewe na asianze kuwaingizia maneno masikioni mwao kuwa ccm itashinda kwa asilimia hizo, sisi tunaona mbali tunajua tu kuwa huo ni moja ya mikakati ya kutaka kuiba kura kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Watanzania tunapaswa kwa umoja wetu tukemee juu upuuzi unaofanywa na huyu kibaka wa siasa.
Mungu ibariki Tanzania.
Hivi nilini Polepole aliongea nasi tukamueleza habari hizo za kizushi ambazo ameamua kuzizusha, kama anachuki zake binafsi na Zitto aseme na wala asituhusise kwenye huo ujinga wake.
Polepole kwanza ni kiongozi asiye jitambua, ameingiza ccm kwenye kashfa nzito ya rushwa ya kununua wabunge na madiwani na kulisababishia Taifa hasara kubwa ya kufanya chaguzi za marudio .( anapaswa kufanya toba kwa dhambi kubwa kama aliyo tuanyia watanzania. )
Inashangaza ccm inayo jinadi kila siku kwa wananchi kuwa ni waadlifu bado wanafuga mtu wa hovyo kama Polepole ndani ya chama.
Na kwa taarifa tu ccm wapaswa kujua kuwa chuki ziliongezeka kwa ccm zinatokana na siasa za kishamba anazozifanya huyo Polepole.
Polepole alishafikia hata kuleta siasa za hovyo kabisa kwenye mikopo ya elimu ya juu.
Huyu huyu anadai kuwa kiongozi aweye yoyote katika nchi hii itabidi apitie kwenye chuo cha siasa ndo kiwe kigezo cha yeye kuajiriwa huo ni ujinga.
Ukweli ni kwamba kwa aina hii ya siasa za polepole kama hata kemewa atasababisha vurugu 2020 na lawama zitaielekea ccm.
Huyu polepole anadai kuwa 2020 chama hicho cha wezi na mafisadi wakubwa wanao linyonya taifa letu bila aibu kuwa watashinda kwa asilimia sabini na moja, sisi tunamkanya na aache wananchi wafanye maamuzi yao wenyewe na asianze kuwaingizia maneno masikioni mwao kuwa ccm itashinda kwa asilimia hizo, sisi tunaona mbali tunajua tu kuwa huo ni moja ya mikakati ya kutaka kuiba kura kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Watanzania tunapaswa kwa umoja wetu tukemee juu upuuzi unaofanywa na huyu kibaka wa siasa.
Mungu ibariki Tanzania.