Polepole: Suala sio UKAWA kurudi bali warudije?

Polepole: Suala sio UKAWA kurudi bali warudije?

Polepole kanishangaza sana, kaitafasiri sheria kinyume kabisa eti Bunge la Katiba halina Mamlaka ya kubadili chochote kwenye rasmu. Bunge ni chombo moja wapo katika mchakato huu, sawa, sasa kasahau kuwa Bunge ndilo linaloandika katiba? au kajisahau anadhani yeye bado ni kamishna wa Tume.
Poor you polepole una interest zako tu.
 
Chuki- hujamuelewa polepole

Kimsingu bunge halina mamlaka ya kubadili chochote kilichotoka kwa wananchi ila wanauwezo wa kukipaka mafuta na si kukiondoa kabisa na kazi ya bunge ilikuwa ni "kujadili na kupitisha vifungu" hayo mambo ya kubadil wamejiongezea na ndio maana kawasii waende mahakaman kupata ufafanuz wa kisheria na si kama maccm wanachofanya hawajui hapana wanajua ila wanapindisha makusudi kwa maslai yao na kama naww ni gamba kazi kwakoooooo jombaaaaa
 
Back
Top Bottom