Polepole mgeni rasmi Mahafali ya UVCCM UDOM

Polepole mgeni rasmi Mahafali ya UVCCM UDOM

*Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM kuwanoa Wahitimu na kukabidhi Vyeti 402 ktk Mahafali Umoja wa vijana CCM Vyuo na Vyuo Vikuu.*

Flashback:
Polisi yawasambaratisha wanafunzi wa UDOM ambao ni wanachama wa CHADEMA waliokuwa kwenye mahafali.




Vichaa wakipewa rungu, matokeo ndiyo haya...!​
 
Kila mara tunasikia viongozi wakikemea 'uchochezi'

Pengine watu hawajui uchochezi si maneno, ishara inaweza, matendo yanaweza kuwa n.k.

Mwaka jana Polisi walisambaratisha mahafali ya vijana wa upinzani 'hali ya usalama haijatengamaa''

Tangu sambaratisho hilo hadi leo hakuna tangazo lililotolewa hali ya usalama imeaimarika

Ghafla vijana wa CCM kama wale wa Chadema , wameruhusiwa kufanya mahafali kama yale ya vijna wa Chadema katika ukumbi wa CCM kama ilivyokuwa nje ya Chuo kwa Chadema

Huu ni uchochezi kwasababu wa mwaka jana wanajiuliza , walikosea nini katika mahafali yao?
Kwanini wenzao wamefanya kwa amani bila doria au magari ya washawasha ya Polisi

Kwa upande mwingine jambo hili linaondoa credibility ya kauli za serikali.
Kwamba, siku litakapotolewa tangazo lingine halali wananchi watalichukuliwa ni la CCM na Polisi

Kinachofuata ni kuendelea kujengeka kwa makundi, kugawanyika kwa wananchi, kujaa chuki miongoni mwa wananchi, Taifa kugawanyika bila sababu za msingi wala zenye mashiko

Chuki inayojengeka hujitokeza kwa namna nyingi.
Polisi wa mwaka jana mbona leo wananchi hawaoni magari ya washawasha wala wenye virungu?

Baada ya muda tunajikuta na swali 'kwanini baadhi ya wananchi wana chuki na vyombo vya usalama''?
Tunaanza kutafuta majibu yasiyokuwepo, tukisahau kujiuliza chuki inajengekaje na kwanini
 
Kila mara tunasikia viongozi wakikemea 'uchochezi'

Pengine watu hawajui uchochezi si maneno, ishara inaweza, matendo yanaweza kuwa n.k.

Mwaka jana Polisi walisambaratisha mahafali ya vijana wa upinzani 'hali ya usalama haijatengamaa''

Tangu sambaratisho hilo hadi leo hakuna tangazo lililotolewa hali ya usalama imeaimarika

Ghafla vijana wa CCM kama wale wa Chadema , wameruhusiwa kufanya mahafali kama yale ya vijna wa Chadema katika ukumbi wa CCM kama ilivyokuwa nje ya Chuo kwa Chadema

Huu ni uchochezi kwasababu wa mwaka jana wanajiuliza , walikosea nini katika mahafali yao?
Kwanini wenzao wamefanya kwa amani bila doria au magari ya washawasha ya Polisi

Kwa upande mwingine jambo hili linaondoa credibility ya kauli za serikali.
Kwamba, siku litakapotolewa tangazo lingine halali wananchi watalichukuliwa ni la CCM na Polisi

Kinachofuata ni kuendelea kujengeka kwa makundi, kugawanyika kwa wananchi, kujaa chuki miongoni mwa wananchi, Taifa kugawanyika bila sababu za msingi wala zenye mashiko

Chuki inayojengeka hujitokeza kwa namna nyingi.
Polisi wa mwaka jana mbona leo wananchi hawaoni magari ya washawasha wala wenye virungu?

Baada ya muda tunajikuta na swali 'kwanini baadhi ya wananchi wana chuki na vyombo vya usalama''?
Tunaanza kutafuta majibu yasiyokuwepo, tukisahau kujiuliza chuki inajengekaje na kwanini
Mkuu hii nchi ya viwanda ni vituko tupu.
 
Hongera sana! Kidumu chama cha mapinduzi! Kidumu milele yote!
 
CCM Oyeee!

1494815680837.jpg
 
HAPA NDIPO HUA HAKUNA USAWA CHADEMA WALIFANYA HII KITU DODOMA WAKAZUIWA,ARUSHA WAKAZUIWA,
 
Kumekuwa nia ya kuvunjwa kwa sheria za nchi kwa makusudi,jambo ambalo linahatarisha utulivu wa nchi yetu.Na mambo yote yanafanyika kwa kigezo cha dola kushikwa na CCM na kujiita kuwa ni chama dume.Hayo ni matusi na ni kashifa.Ina maana vyama vingine ni vyama majike.Nchi ni yetu sote sasa atusi dhihaka ya nini?,huo ni uchochezi.
 
Back
Top Bottom