Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Hajazungumzia hilo MkuuVIPI kununua madiwani nalo ni Afya ya Demokrasia?
Akizungumzia kuhama kwa Ndugu Lazaro Nyalandu toka CCM,Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa CCM,Humphrey Polepole amesema kuwa kuhama kwake ni habari na jambo la kawaida.
Polepole amesema kuwa kuhama kwa Nyalandu si jambo jipya kwakuwa wamewahi kuhama vigogo katika siku za nyuma. Polepole amesema kujiunga na kuhama chama ni haki ya kikatiba.
Polepole amehitimisha kuwa kuhama kwa Nyalandu toka CCM ni afya ya demokrasia.
Chanzo: ITV Habari
Hata ujangili tutausahau kwikwi kwiSababu zilizomfanya ahame kaziminya. Kwi kwi kwi kwi njaa mbaya sana.
Chadema mmemnunua nyalandu ushahidi ninao
Ccm. Hamna adabu kabisa
Hata magufuli akihama chama mtakuja kumuita fisadi.