Polepole: Awamu ya kwanza ya Rais Magufuli ilikuwa ni Mikikimikiki ya maendeleo na awamu ya pili ndio Wananchi wangeandika Katiba mpya!

Polepole: Awamu ya kwanza ya Rais Magufuli ilikuwa ni Mikikimikiki ya maendeleo na awamu ya pili ndio Wananchi wangeandika Katiba mpya!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,521
Kumbe Shujaa Magufuli alipanga kutuachia Katiba mpya mwaka huu 2025 ila Mungu wa mbinguni akampenda zaidi

Katiba mpya ni muhimu sana sijui ile ya Mtemi Chenge iliishiaga wapi!

Ahsanteni sana
 
kwa uchaguzi ule wa 2020 --- huu utani kutoka kwa slowslow wakuu 😁
 
Back
Top Bottom