Poleni Watanzania

Poleni Watanzania

kaifastus

New Member
Joined
Nov 4, 2025
Posts
4
Reaction score
2
Nimehuzunika mno kushuhudia mauaji TZ. Wanahabari wa Tanzania wako na swali la kujibu! Walinyamaza mauwaji yakiendelea!
 
Nimehuzunika mno kushuhudia mauaji TZ. Wanahabari wa Tanzania wako na swali la kujibu! Walinyamaza mauwaji yakiendelea!
Magaidi tu ndio hushambulia raia wenzao. Tz inaongozwa na rais, katili, na chama cha magaidi, hotuba zao, hii gelea kama si kuwaua, basi ni kuwapoteza na kuwajeruhi WaTz wengine! Sijui akili na utashi wao una tafsiri gani ya vyama vingi?
 
Kuna kitabu ambacho kimeandikwa na mwandishi Daron Acemoglu. Kinaitwa "why Nations fail" Acemoglu asema kwamba nchi nyingi Africa "Institutions" ni dhaifu mno. Hivi kwamba umaskini waongezeka ilhali walio na nguvu za kisiasa (political elite and their cronies expropriate countries wealth) wananyanyasa wanainchi na kuharibu uchumi.
 
Back
Top Bottom