OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
- :shock: WANACHADEMA poleni sana kwa kipindi hiki kigumu kwetu kwani magamba wameamua kuzima furaha yetu ghafla,kinachotakiwa kipindi hiki ni kutulia na kutafakari kuwa nini kifanyike ili tuweze kulinyakua tena hili jimbo,na kwa taarifa niliyopata wanampango wa kumsimamisha ole millya dhidi ya lema,mungu ibariki CHADEMA mungu ibariki TZ,na siku zote haki haishushwi,ila inapiganiwa