MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,760
- 48,408
Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.
Matiang’i: All Dusit buildings now secure
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.
Matiang’i: All Dusit buildings now secure