Poleni waathirika, shukrani na hongera kwa makomando kwa kukamilisha shughuli

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,760
48,408
Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.

Matiang’i: All Dusit buildings now secure
 
Poleni sana ndugu zetu na pia navipongeza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuneutralize magaidi mapema kabla hayajaleta madhara makubwa
 
Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.

Matiang’i: All Dusit buildings now secure
Poleni sana Wakenya wote
Mungu awafanyie wepesi
**magaidi sijui wanafaidika nini kutoa roho za watu innocent! Walaaniwe na vizazi vyao
 
MK254,
KBC news na NTV Kenya mpaka leo asubuhi Jumatano saa 11 alfajiri wanasema habari za uhakika toka msemaji wa Polisi Bw. Charles Owino, bado mambo hayajaisha ktk eneo la tukio. Tuwatakie heri vyombo vya usalama walimalize kabisa na kuhitimisha operesheni yao ya kudhibiti na kuwamaliza magaidi siku ya leo.
 
Mimi ninadhani hili ni kipindi kigumu kwa wakenya na si vizuri kutoa habari zisizokua na uhakika kwa lengo la kutaka kupata sifa, hadi asubuhi hii bado magaidi yanalipua mabumu, hii habari ya kusifia makomando kumaliza kazi chanzo chake ni kipindi?.

Hakuna hata chombo cha habari kilichotaja ushiriki wa makomandoo wa Kenya, wanataja POLISI, KDF, hao wanapambana na majambazi hapo Nairobi, na askari kazu, hao makomandoo mbona hawajatajwa popote pale, hizi sifa za kijinga mtaacha lini wakati nchi unaendelea kushambuliwa?, badilikeni na mjue uwezo wenu bado ni mdogo mnahitaji kujifunza zaidi badala ya kuendelea kusifia makomandoo ambao hawapo na hawana uwezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.

Matiang’i: All Dusit buildings now secure
Siyo pongezi. Wazidishe mafunzo. watu 4 wanawasumbua hours and hours??? Sasa bona riport za hospital zinasema zimeshapokea maiti 17?
 
MK254,
KBC news na NTV Kenya mpaka leo asubuhi Jumatano saa 11 alfajiri wanasema habari za uhakika toka msemaji wa Polisi Bw. Charles Owino, bado mambo hayajaisha ktk eneo la tukio. Tuwatakie heri vyombo vya usalama walimalize kabisa na kuhitimisha operesheni yao ya kudhibiti na kuwamaliza magaidi siku ya leo.
jamaa bado wapo na wamesema wakimaliza operation watatoa taarifa
 
Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.

Matiang’i: All Dusit buildings now secure
Poleni sana mkuu. It's bad fortune kwakweli.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Hali ilivyokuwa kama ilivyoripotiwa na mwandishi maarufu wa habari za uchunguzi Bw. Allan Namu wa nchini Kenya. Allan Namu asubuhu ya tukio walikuwa wanapita maeneo ya Westland jijini Nairobi na walipofika mtaa wa Riverside Drive ghafla wakajikuta katikati ya eneo la tukio .Walihatarisha maisha yao kwa kusimama na kurekodi hatua kwa hatua kilichokuwa kinatokea.

Source : africa uncensored
On the afternoon of Tuesday, 15th January, 2019, armed gunmen stormed into 14 Riverside, a corporate campus in Westlands, Nairobi that hosts offices of several corporates, a restaurant and a hotel, DusitD2. The Africa Uncensored crew, which was nearby, was the first at the scene and this is a compilation of how the attack unfolded. Source : Africa uncensored.
 
Siyo pongezi. Wazidishe mafunzo. watu 4 wanawasumbua hours and hours??? Sasa bona riport za hospital zinasema zimeshapokea maiti 17?

Mtu wa kujitoa mhanga hata mmoja anaweza akasumbua battalion nzima ya jeshi haswa kama ameingia ndani ya raia, hakuna mafunzo yanayoweza kukutayarisha dhidi ya kupigana na mtu kama huyo bin shetwan aliyeaminishwa uzombi wa kidini, mwilini anakua amejifunga mabomu haogopi kufa.
Marekani na Urusi wamepiga mabomu yao kule kwa ISIS tena kwa miaka lakini mpaka leo hayo mazombi bado yapo yapo tu, kuna siku Mrusi alipga hadi bomu la ICBM ambalo lilikatiza anga ya mataifa kadhaa, yaani ubabe full lakini wapi.
Hawa magaidi wangekua wanafanya wafanyavyo wa huko kwenu, yaani wanajificha maporini kama kwenye mapango ya Amboni, hapo mziki unakua rahisi kuwapiga, lakini wanapo ingia kwenye maeneo kama Milimani City na kuanz kulipuka humo, hakuna kikosi dunia hii ambacho huwa kimejitayarisha dhidi ya shughuli kama hiyo.
 
Mimi ninadhani hili ni kipindi kigumu kwa wakenya na si vizuri kutoa habari zisizokua na uhakika kwa lengo la kutaka kupata sifa, hadi asubuhi hii bado magaidi yanalipua mabumu, hii habari ya kusifia makomando kumaliza kazi chanzo chake ni kipindi?.

Hakuna hata chombo cha habari kilichotaja ushiriki wa makomandoo wa Kenya, wanataja POLISI, KDF, hao wanapambana na majambazi hapo Nairobi, na askari kazu, hao makomandoo mbona hawajatajwa popote pale, hizi sifa za kijinga mtaacha lini wakati nchi unaendelea kushambuliwa?, badilikeni na mjue uwezo wenu bado ni mdogo mnahitaji kujifunza zaidi badala ya kuendelea kusifia makomandoo ambao hawapo na hawana uwezo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Dah wabongo bhana kwa kuchonga hatujambo! Kwani makomando wako wapo vitengo gani? Makamando wapo ndani ya KDF kwa Kenya kama ilivyo kwa JWTZ tanzania. Hata ndani ya polisi kuna makomandoo...mashambulizi ya kigaidi sio jambo la Kenya tu bali ulimwengu mzima na kudeal na magaidi tena ndani ya majengo ambayo ndani yake kuna Raia wema sio jambo jepesi ...linahitaji trained personnel. Kwa hili vyombo vya usalama Kenya vinahitaji pongezi maana vifo ni vichache kuliko mpango wa hao wahalifu wasio na huruma.
 
Mtu wa kujitoa mhanga hata mmoja anaweza akasumbua battalion nzima ya jeshi haswa kama ameingia ndani ya raia, hakuna mafunzo yanayoweza kukutayarisha dhidi ya kupigana na mtu kama huyo bin shetwan aliyeaminishwa uzombi wa kidini, mwilini anakua amejifunga mabomu haogopi kufa.
Marekani na Urusi wamepiga mabomu yao kule kwa ISIS tena kwa miaka lakini mpaka leo hayo mazombi bado yapo yapo tu, kuna siku Mrusi alipga hadi bomu la ICBM ambalo lilikatiza anga ya mataifa kadhaa, yaani ubabe full lakini wapi.
Hawa magaidi wangekua wanafanya wafanyavyo wa huko kwenu, yaani wanajificha maporini kama kwenye mapango ya Amboni, hapo mziki unakua rahisi kuwapiga, lakini wanapo ingia kwenye maeneo kama Milimani City na kuanz kulipuka humo, hakuna kikosi dunia hii ambacho huwa kimejitayarisha dhidi ya shughuli kama hiyo.
Happy new year imeanza vibaya Kwa Kenya hasa wanao miliki Kenya maana wakaazi wa kibera wapo salama hakuna gaidi atakaye wasumbua kwenye slum
Hakina janerose msiwe na wasiwasi kibera ni salama kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom