Kwa logic yako China na India zenye watu Bilioni 1 plus wanapaswa wawe mabingwa wa michezo yote duniani !!Poleni sana Taifa Stars kwa kufungwa na timu ya Taifa ya Burundi lakini haingii akilini kweli Tanzania yenye takriban watu 55 miilioni kushindwa na nchi yenye watu 6 millioni?. Kweli timu yetu imekuwa kichwa cha mwenda wazimu.
Lawama ziende ccm kwa kunajisi uwanjaPoleni sana Taifa Stars kwa kufungwa na timu ya Taifa ya Burundi lakini haingii akilini kweli Tanzania yenye takriban watu 55 miilioni kushindwa na nchi yenye watu 6 millioni?. Kweli timu yetu imekuwa kichwa cha mwenda wazimu.
Mjinga huyo.Kwa logic yako China na India zenye watu Bilioni 1 plus wanapaswa wawe mabingwa wa michezo yote duniani !!
Usipojipamga na ukaleta siasa kwenye mpira utapigwa tuuPoleni sana Taifa Stars kwa kufungwa na timu ya Taifa ya Burundi lakini haingii akilini kweli Tanzania yenye takriban watu 55 miilioni kushindwa na nchi yenye watu 6 millioni?. Kweli timu yetu imekuwa kichwa cha mwenda wazimu.
Usipojipamga na ukaleta siasa kwenye mpira utapigwa tuuPoleni sana Taifa Stars kwa kufungwa na timu ya Taifa ya Burundi lakini haingii akilini kweli Tanzania yenye takriban watu 55 miilioni kushindwa na nchi yenye watu 6 millioni?. Kweli timu yetu imekuwa kichwa cha mwenda wazimu.
Kamoja tukwani wamefungwa ngapi
Tanzania akuna mpiraaPoleni sana Taifa Stars kwa kufungwa na timu ya Taifa ya Burundi lakini haingii akilini kweli Tanzania yenye takriban watu 55 miilioni kushindwa na nchi yenye watu 6 millioni?. Kweli timu yetu imekuwa kichwa cha mwenda wazimu.