Hakuna kitu nikichukiacho kama Mtz kuside na mgeni kunyonya au kudhiulumu Mtz mwenzio.
Mtoa mada mawasiliano na watu wa uhamiaji si unayo waje chungulia apo au kama vip ni kuyaanika haya kupitia magazeti mengine.
Staff have to be valued jamani maana bila wao hamna Coca Cola.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.