Zamani nikiwa mtoto mdogo,nikiwa bado mwanafunzi wa shule ya msingi Mabatini..
Babangu alinipatia magazeti mara kwa mara, nipate kuyasoma na yeye akinisikiliza..
Leo nikiwa mtu mzima nagundua dhamira ya babangu kwangu, kwamba niwe nafahamu kusoma kwa fasaha na haraka zaidi na kunijengea tabia ya kupenda kusoma..
Sitaki Amini kama alifanya hivyo ili kusikia sauti ya mtoto wake wa pekee na aliyempenda zaidi..
Sitaki Amini hvyo kwa kuwa mara kadha wa kadha alinikosoa na kunifundisha namna ya kutamka maneno ambayo sikuweza kufanya hivyo kwa kipindi kile..!!sasa
Nikiwa nataka achana na habari za marehemu Babangu na GAZETI alizokuwa akinipa nizisome..
Kuna swala moja ambalo leo limenisukuma kuandika kurasa hii...
Ni lile swala la "BARUA YA WAZI KWA ....,..."katika magazeti ya kipindi kile..siku hizi sio sana..
barua hzi zilikuwa zinawezwa elekezwa kwa Taasisi au kwa mamlaka fulani au kwa kikundi cha watu au hata mtu mmoja...
Zilikuwa zikiandikwa kwenye kurasa za MAGAZETI,hata kama waandishi hawa walikuwa wanajua anwani za watu hawa,au taasisi husika..
Sijajua kwa nini waliamua kufanya hivyo..
Sasa leo,, Mim ninajua kuwa Raisi wangu Jakaya ni moja ya watu Makini na Wenye uwezo mkubwa wa kupembua na Kuchambua Mambo..!!
Ndiyo..,ndivyo alivyo rais wangu,, na Jamii Forum ndiyo mahala watu wote wenye sifa kama nilizozitaja kwa rais wangu wanapatikana hapo..!
Hvyo sina shaka Rais Kikwete ni mchangiaji mkubwa wa mada mbali mbali zinazowekwa Jamvini..
Hivyo na mimi nikaona ni vema kuchukua fulsa hii kumwandikia Rais wangu mpendwa JK, barua hii ya wazi ..!!
"Mheshimiwa Rais , kabla ya pole zilizonifanya kukuandikia barua hii,, kwanza nikupe PONGEZI kwa kulipeleka taifa letu kwenye hatua ya kihistoria ya Mchakato wa Uandishi wa KATIBA mpya..!!hakika hakuna hatakae sahau jambo hili gumu ulilolikubali litukie katika utawala wako..
Najua ya kwamba Taifa letu, ni lazima lingefikia hatua ya kuandika Katiba mpya mtukufu..
Lakini wewe Utakumbukwa milele kwa kuruhusu mchakato katika utawala wako..
HONGERA SANA..
Mkuu,ukiwa unasoma Barua hii,usisahau kuwa lengo la Barua hii ni kukupa POLE..
Ndiyo, POLE...!!
Hakuna hasiyefahamu ni mgumu namna gani mchakato wa uteuzi wa wajumbe wa ukusanyaji wa maoni juu ya KATIBA MPYA..!Pole sana mpendwa wangu JK..
Ila Rais nikupe POLE tena,na labda zaidi ya POLE Kwa kuingiliwa madaraka yako au KUSHURUTISWA KIFIKRA na watu flani flani au kikundi cha watu flani au watu wa sehemu flani au kanuni na taratibu flani kufanya mambo ambayo hayakuwa matakwa yako,,eti labda kwa nia ya kulinda kitu flani..
Kwa hili nakupa POLE SANA Rais wangu..
Sitaki Amini kama uamuzi wa kuteua Watu 15 kutoka Bara na wengine 15 kutoka Tanzania visiwani(kuunda tume ya kukusanya maoni) ni Uwamuzi uliofanywa na Rais wangu JK mwenyewe..!!
Kuna namna hapa,, hata rais mwenyewe unajua...
Haya siyo maamuzi yako mkuu,,kuna mambo flani,flani yamekusukuma mkuu..
Ila Pole SANA kwa hili..
Mimi nakumbuka sana na sidhani hata kama miezi miwili imepita tangu uteue MABALOZI ...!
Nakumbuka mabalozi waliotokea Tanz Bara walikuwa wengi zaidi ya wale Ulioteua kutokea mkoa wa Zanz na Unguja..
Nakumbuka,,kelele Zilisikika tokea mikoa hii miwili ya Tanzania kuwa haikutendewa haki kabisa kulinganisha na ile sehemu nyingine ya Jamuhuri yetu..
Eti ni kweli kuwa leo umeamua kuweka nusu kwa nusu ya idadi ya watu katika ukusanyaji wa maoni ya katiba..kati ya mikoa 2 ya jamuhuri na 26 ya jamuhuri hyo ,hyo..!
Ndiyo mana nasema utakuwa umeshindikizwa..
Mim Rais wangu ni mchumi na ndiyo maana nina uhakika anajua hisabati..
Hvyo hasingeweza kufanya uamuzi kama huu isipokuwa ameshindikizwa kifikra...
Nakupa pole tena na kukuomba usikubali tena kufanya maamuzi ya Kitaifa kwa kuogopa eti kundi flani litasemaje au upande flani utalichukuliaje swala hili..
Wako mtiifu..
Mtoa mada ulipoandika thread hii kama ni mvulana nawasiwasi na jinsia yako huenda ukawa boflo au chakula cha watu kwani kule kwetu neno magwero maana yake ni ushuzi wa ****** na kama ni msichina unatumia mfumo dume kustarehesha wenzio, kama hujui waulize wenye kazi zao rais hashurutishwi na mtu ni maamuzi na muono wake na hasa kwa kuwa inaijua katiba ya jamuhuri ya muungano vizuri wewe huielewi kwani hio fani yako kama kushurutishwa rais angefikiria kitu kimoja tu kuengeza idadi ya watumishi kutoka kule visiwani kwenye nafasi za kibalozi na taasisi zenye sura ya muungano na muhimu zaidi ni mgawano wa mapato ya muungano hizi ndizo kero kubwa za muungano katika hayo ratio ya visiwani haifiki hata asilimia 10 sasa wewe unaongea nn kwenye hili halafu ujuwe znz sie mkoa ni nchi kamili yenye bendera yake, serikali yake wimbo wake wa taifa na maamuzi yake kama ni mkoa basi tanganyika iko wapi serikali yenu uko wapi wimbo wenu wa taifa yuko wapi rais wenu fikiria kwanza kabla ya kusema nyambafuuu mmoja ujinga na umimi umekujaa tafuta historia zanzibar umekulea wewe waulize waasisi nani alietaka muungano kati ya nyerere na karume nyerere aliona mbali sana kuhusu visiwa vile akaona njia pekee ni kula rasilimali zake kupitia muungano na kupunguza nguvu alijua kama muungano ungekuwa wa serikali tatu asingeweza kufanya yale waliyoyapanga kufanya kama kweli watanzania tunataka kuprove nani alikuwa anamuonea mweziwe kwenye muungano tuweke serikali 3 halafu sote tuweke ushiriki sawa kwenye shirikisho la muungano kwa kigezo cha idadi ya watu au vyenginevyo uwone madudu yatakavyoibuka
Mtoa mada ulipoandika thread hii kama ni mvulana nawasiwasi na jinsia yako huenda ukawa boflo au chakula cha watu kwani kule kwetu neno magwero maana yake ni ushuzi wa ****** na kama ni msichina unatumia mfumo dume kustarehesha wenzio, kama hujui waulize wenye kazi zao rais hashurutishwi na mtu ni maamuzi na muono wake na hasa kwa kuwa inaijua katiba ya jamuhuri ya muungano vizuri wewe huielewi kwani hio fani yako kama kushurutishwa rais angefikiria kitu kimoja tu kuengeza idadi ya watumishi kutoka kule visiwani kwenye nafasi za kibalozi na taasisi zenye sura ya muungano na muhimu zaidi ni mgawano wa mapato ya muungano hizi ndizo kero kubwa za muungano katika hayo ratio ya visiwani haifiki hata asilimia 10 sasa wewe unaongea nn kwenye hili halafu ujuwe znz sie mkoa ni nchi kamili yenye bendera yake, serikali yake wimbo wake wa taifa na maamuzi yake kama ni mkoa basi tanganyika iko wapi serikali yenu uko wapi wimbo wenu wa taifa yuko wapi rais wenu fikiria kwanza kabla ya kusema nyambafuuu mmoja ujinga na umimi umekujaa tafuta historia zanzibar umekulea wewe waulize waasisi nani alietaka muungano kati ya nyerere na karume nyerere aliona mbali sana kuhusu visiwa vile akaona njia pekee ni kula rasilimali zake kupitia muungano na kupunguza nguvu alijua kama muungano ungekuwa wa serikali tatu asingeweza kufanya yale waliyoyapanga kufanya kama kweli watanzania tunataka kuprove nani alikuwa anamuonea mweziwe kwenye muungano tuweke serikali 3 halafu sote tuweke ushiriki sawa kwenye shirikisho la muungano kwa kigezo cha idadi ya watu au vyenginevyo uwone madudu yatakavyoibuka
Mtoa mada ulipoandika thread hii kama ni mvulana nawasiwasi na jinsia yako huenda ukawa boflo au chakula cha watu kwani kule kwetu neno magwero maana yake ni ushuzi wa ****** na kama ni msichina unatumia mfumo dume kustarehesha wenzio, kama hujui waulize wenye kazi zao rais hashurutishwi na mtu ni maamuzi na muono wake na hasa kwa kuwa inaijua katiba ya jamuhuri ya muungano vizuri wewe huielewi kwani hio fani yako kama kushurutishwa rais angefikiria kitu kimoja tu kuengeza idadi ya watumishi kutoka kule visiwani kwenye nafasi za kibalozi na taasisi zenye sura ya muungano na muhimu zaidi ni mgawano wa mapato ya muungano hizi ndizo kero kubwa za muungano katika hayo ratio ya visiwani haifiki hata asilimia 10 sasa wewe unaongea nn kwenye hili halafu ujuwe znz sie mkoa ni nchi kamili yenye bendera yake, serikali yake wimbo wake wa taifa na maamuzi yake kama ni mkoa basi tanganyika iko wapi serikali yenu uko wapi wimbo wenu wa taifa yuko wapi rais wenu fikiria kwanza kabla ya kusema nyambafuuu mmoja ujinga na umimi umekujaa tafuta historia zanzibar umekulea wewe waulize waasisi nani alietaka muungano kati ya nyerere na karume nyerere aliona mbali sana kuhusu visiwa vile akaona njia pekee ni kula rasilimali zake kupitia muungano na kupunguza nguvu alijua kama muungano ungekuwa wa serikali tatu asingeweza kufanya yale waliyoyapanga kufanya kama kweli watanzania tunataka kuprove nani alikuwa anamuonea mweziwe kwenye muungano tuweke serikali 3 halafu sote tuweke ushiriki sawa kwenye shirikisho la muungano kwa kigezo cha idadi ya watu au vyenginevyo uwone madudu yatakavyoibuka
Mtoa mada ulipoandika thread hii kama ni mvulana nawasiwasi na jinsia yako huenda ukawa boflo au chakula cha watu kwani kule kwetu neno magwero maana yake ni ushuzi wa ****** na kama ni msichina unatumia mfumo dume kustarehesha wenzio, kama hujui waulize wenye kazi zao rais hashurutishwi na mtu ni maamuzi na muono wake na hasa kwa kuwa inaijua katiba ya jamuhuri ya muungano vizuri wewe huielewi kwani hio fani yako kama kushurutishwa rais angefikiria kitu kimoja tu kuengeza idadi ya watumishi kutoka kule visiwani kwenye nafasi za kibalozi na taasisi zenye sura ya muungano na muhimu zaidi ni mgawano wa mapato ya muungano hizi ndizo kero kubwa za muungano katika hayo ratio ya visiwani haifiki hata asilimia 10 sasa wewe unaongea nn kwenye hili halafu ujuwe znz sie mkoa ni nchi kamili yenye bendera yake, serikali yake wimbo wake wa taifa na maamuzi yake kama ni mkoa basi tanganyika iko wapi serikali yenu uko wapi wimbo wenu wa taifa yuko wapi rais wenu fikiria kwanza kabla ya kusema nyambafuuu mmoja ujinga na umimi umekujaa tafuta historia zanzibar umekulea wewe waulize waasisi nani alietaka muungano kati ya nyerere na karume nyerere aliona mbali sana kuhusu visiwa vile akaona njia pekee ni kula rasilimali zake kupitia muungano na kupunguza nguvu alijua kama muungano ungekuwa wa serikali tatu asingeweza kufanya yale waliyoyapanga kufanya kama kweli watanzania tunataka kuprove nani alikuwa anamuonea mweziwe kwenye muungano tuweke serikali 3 halafu sote tuweke ushiriki sawa kwenye shirikisho la muungano kwa kigezo cha idadi ya watu au vyenginevyo uwone madudu yatakavyoibuka