Pole sana Alphonce modest - TFF mko wapi?

Rage hana utu kabisa kwa waliokuwa wachezaji wa Simba,hata Mafisango wanamdhulumu jamani mbona ni aibu kubwa sana....!!sembuse Alphonse Modest alieacha kucheza Simba zaidi miaka 8 huko nyuma??wachezaji wajipange sana wasijisahau na kulewa sifa na beer za bure na wasichana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…