vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 998
CHADEMA IRINGA YACHANGISHA FEDHA KUMKOMBOA KADA WAKE ALIYEHUKUMIWA KWA KUCHANA PICHA ZA CCM
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa Chiku Abwao (chadema)akionyesha fedha zaidi ya Tsh. 117,000 ili kulipa faini ya shilingi laki moja ambazo kada huyo wa Chadema alishindwa kulipa na kulazimika kwenda jela kuanza kutumikia miezi mitatu kama alivyohukumiwa na mahakama ya Mwanzo jana
Mbunge Abwao akionyesha kadi za wana CCM 12 waliojiunga na Chadema leo katika mkutano wa kampeni za Udiwani kata ya Miyomboni Kitanzini leo eneo la Soko kuu
Kadi zilizorejeshwa na wana CCM kwa Chadema leo
Vijana zaidi wakisikiliza mkutano wa kampeni za Chadema leo japo idadi si kama ile ya CCM
Mbunge Abwao akionyesha kadi za wana CCM 12 waliojiunga na Chadema leo katika mkutano wa kampeni za Udiwani kata ya Miyomboni Kitanzini leo eneo la Soko kuu