POCORN MACHINE(MACHONE YA BISI)INAUZWA 350,000)

POCORN MACHINE(MACHONE YA BISI)INAUZWA 350,000)

J Mbungi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
269
Reaction score
74
1452431993883.jpg
 
Popcorn Machine nzuri na zile kubwa z muundo wa roofing.

Nimeitumia mizi2 tu..Na hakika inalipa sana hasa ukupata sehemu busy.

Nilikuwa napata kati ya elf40 na 60 kwa siku( Faida ikiwa ni kati ua elf20 ma 30

Sema mimi nahama Dar es salaam na ninakoenda ni shamba kidogo
Mwenye kuhitaji tuwasliane nipo Ubungo 0784 355 775)
 
Mbona hiyo bei ndo ya mashine mpya! Samahani lakini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom