Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,408
- 31,392
Pneumonia ni neno la kilatini likimaanisha mapafu. Wataalamu wa Engineering hutumia neno Peumatic wakimaanisha hewa.(Peumatic pressure)
Kiswahili sahihi ni Homa ya mapafu kwasababu peumonia hujitokeza kwa dalili ya homa. Kutokana na mapafu kuathirika kwa ugonjwa huu, mtu hujisikia kichomi, kwahiyo Kichomi pia ni neno sahihi. Kuna maneno ya mtaani yenye maana hiyo hiyo ''Limonia n.k'' kutokana na matamshi na ufahamu wa mtu. Peumonia hutamkwa (Nyumonia) ukikazia Nyu.
Asthma sio Peumonia. Asthma ni Pumu kwa kiswahili, na hii hutokana na kubana kwa mapafu. Tofauti na Penumonia ambayo huwa ni inatokana na infection ya wadudu, Asthma ni kubana kwa mapafu kunakotoka na sababu mbali mbali ikiwa ni pamoja na kurithi. Asthma haina homa mpaka pale tu mapafu yatakpokuwa yameathirika na infection. La muhimu kujua hapa ni kuwa mgonjwa wa Asthma akipata Pneumonia mambo huwa magumu kidogo kwasababu anakuwa na 2 in 1.
Peumonia hutibiwa na dawa kama Antibiotics wakati Asthma huwa na dawa za kufungua mapafu.
Kiswahili sahihi ni Homa ya mapafu kwasababu peumonia hujitokeza kwa dalili ya homa. Kutokana na mapafu kuathirika kwa ugonjwa huu, mtu hujisikia kichomi, kwahiyo Kichomi pia ni neno sahihi. Kuna maneno ya mtaani yenye maana hiyo hiyo ''Limonia n.k'' kutokana na matamshi na ufahamu wa mtu. Peumonia hutamkwa (Nyumonia) ukikazia Nyu.
Asthma sio Peumonia. Asthma ni Pumu kwa kiswahili, na hii hutokana na kubana kwa mapafu. Tofauti na Penumonia ambayo huwa ni inatokana na infection ya wadudu, Asthma ni kubana kwa mapafu kunakotoka na sababu mbali mbali ikiwa ni pamoja na kurithi. Asthma haina homa mpaka pale tu mapafu yatakpokuwa yameathirika na infection. La muhimu kujua hapa ni kuwa mgonjwa wa Asthma akipata Pneumonia mambo huwa magumu kidogo kwasababu anakuwa na 2 in 1.
Peumonia hutibiwa na dawa kama Antibiotics wakati Asthma huwa na dawa za kufungua mapafu.