PM Majaliwa: Tutawashughulikia wanaotoa matamshi ya kichochezi

Imekuwa ni kawaida.. Siku hizi watu hawajui ni wapi waongee nini.

Nimemsikia hata askofu mmoja katika msiba watu wana majonzi yeye anapiga siasa!
 
Serikali itawashughulikia watu wote wanaotoa matamshi ya kichochezi nchini bila ya kujali nyadhifa zao.


yaaani skuiz tutawashughulikia tu ndio msemo kila mtu anaonya tu kwani kipindi hiki ndio watanzania wamerauka kuliko kipindi kingine chochote ?
 
...na wanaotoa matamko ya kutaka rais aongezewe muda kinyume na katiba yetu nao washughulikiwe haraka sana, kwani huu ni uchochezi mkubwa sana.. Hizi double standards, vitisho, matamko, uonevu, kwenye hii awamu vinatupeleka kubaya... jueni kuwa nyakati zimebadilika, watanzania hawa wa leo sio wale wa jana na juzi, hii style ya uongozi imepitwa kabisa na wakati, mnatuingiza gizani nyie watu...
 
Huyu nae tupuuu kabisa kama boss wake...kuna mataahira wengi sana nchi hii na kibaya zaidi ndo wamepewa nchi waiongoze na lile taahira kuu ndo linaona hii nchi kama mali yake binafsi
 
!
"Mama alikuwa na ratiba kila siku ifikapo saa nne usiku lazima afanye ibada, Hivyo nina matumaini makubwa kupitia Uchamungu wake, Mwenyezi Mungu atamuweka mahala pema."

!
!
Kama ilivyoandikwa kuhusu ugumu wa matajiri kuingia peponi, vivyo hivyo ni vigumu kwa wanaoijua vizuri sisiem.
Pumzika unapostahili.
 
!
"Mama alikuwa na ratiba kila siku ifikapo saa nne usiku lazima afanye ibada, Hivyo nina matumaini makubwa kupitia Uchamungu wake, Mwenyezi Mungu atamuweka mahala pema."

!
!
Kama ilivyoandikwa kuhusu ugumu wa matajiri kuingia peponi, vivyo hivyo ni vigumu kwa wanaoijua vizuri sisiem NS bado wanatetemeka.
Pumzika unapostahili.
 
!
"Mama alikuwa na ratiba kila siku ifikapo saa nne usiku lazima afanye ibada, Hivyo nina matumaini makubwa kupitia Uchamungu wake, Mwenyezi Mungu atamuweka mahala pema."

!
!
Kama ilivyoandikwa kuhusu ugumu wa matajiri kuingia peponi, vivyo hivyo ni vigumu kwa wanaoijua vizuri sisiem NS bado wanatetemeka.
Pumzika unapostahili.
 
Mkumbuke vjana hatuna ajira,watu wahajapanda madaraja tangu mlipoingia madarakani,biashara nyingi zimekufa,watu wamepunguzwa makazini,fedha imekuwa ngumu kupatkana na haina thamani,mikopo elimu ya juu mmeshindwa kutoa na mmeshindwa hata kuboresha elimu;badala mje na suluhsho La kudumu kwa matatzo hayo mnakuja na vtisho ilimuweze kujihakikishia usalama wenu wa kisiasa,hamna tofauti na nyoka au chui ninyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi "uchochezi" ulishapata tafsiri yake mahakamani? Kuna.mtu humu JF anayejua kesi yeyote ya uchochezi ambayo imeshatolewa hukumu? Kama yupo naomba atuwekee hiyo hukumu ili tujue mahakama ilitafsiri vipi neno uchochezi. Hii itatusaidia ili tusiwe tunasema maneno ambayo ni ya uchochezi.
 
Sasa Misiba inageuzwa kuwa viwanja vya kisiasa!!
Mbona hayo madogo sana kama serikali haitajitambua ya kuwa ina watu wenye mawazo tofauti na wengine basi safari ndo hivyo ishaanza inawezekana wakazarau lakini huu ndo mwanzo watakuja kuelewa maji yashamwagika na hakutakuwa na maneno haya tena lkn wakae wakijua kuzaliwa ni siku moja lkn pia kuondoka ni siku hiyohiyo moja maamuzi yako hivikama kunafaida ya kuishi muda mrefu kwa kukandamizwa na kunyanyaswa ndani ya nchi yetu au kuishi maisha mafupi yenye historia,kama tutakubari kuburuzwa basi tujiandae pia kufa kipumbavu, haya maneno ya kujaribu kunyamazisha haki ya kunena,kukosoa wamekuwa jiwe hata wakae kimya ?pesa za nchi zinautaratibu Leo zinapitishwa na familia ya mtu mmoja na wengine wanaojua nini sheria inasema wanafumba macho na kutetea upuuzi no that is big NO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom