Sasa Misiba inageuzwa kuwa viwanja vya kisiasa!!
fisiemu wema ni walio makaburini mkuu! waliosalia ni wasaka tonge wanaangalia maslahi yao kwa namna zote si maslahi wala mustakabali wa nchi.Nilikuwa namuamini sana pm,
Kumbe nae hamna kitu
Watch it.Huwezi kuwanyamazisha watu kwa vitisho hata siku moja .wakitaka amani iwepo haki mbele.
Angekuwa hajali angejificha mahakamani?Aseme wazi kuwa wameguswa na Uchambuzi sahihi wa Tundu Lissu Kuhusu unyanyasasi wa kisiasa. Na siku zote ukitaka kufa mapema kuwa mkweli lakini TL hajali hilo. Uzandiki hatuhuitaji ukweli daima hudumu.
Kweli malofa na wapumbavu lkn huwezi kumtukana raisHii nchi ni yetu sote siyo ya CCM pekee, mtu anatukana watu wapumbavu na malofa hakemewi sababu ni CCM. shame
Demokrasia ya kutukana hata jk alikuwa analalamika kila siku na wapinzani walikamatwa walipigwa mabomu waliumizwa walifungwa n.kMuheshimiwa PM shida nini ya kuacha demokrasia iliyokua ina shamiri toka kwa Jakaya.. mtahangaika na uchochezi wakati ninyi ndio chanzo, tanzania nyingine hatuwezi kukubali kupelekwa kiimla kama mbweha.. shame shame
Sent using Jamii Forums mobile app
Utapima na utAonaHuyo alikuwa msibani au kwenye jukwaa la siasa,,,,,, miaka mitano sio mingi tutapima serikali ilichofanya zaidi ya majigambo na mikwara ya kila cku
Kama lissuUlienda msibani au ulienda kutishia watu!!!
Ovyo sana hii serikali ya Lumumba yaani viongozi wake ni kuropoka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app